Zak Malang
JF-Expert Member
- Dec 30, 2008
- 5,404
- 239
kwani ni lazima marais wastahafu wampigie kampeni jk? Wameamua kukaa kimya kwa sababu wameona mgombea wao anakubalika kwa wananchi bila matatizo yeyote
Kwani ni lazima marais wastahafu wampigie kampeni JK? Wameamua kukaa kimya kwa sababu wameona mgombea wao anakubalika kwa wananchi bila matatizo yeyote
Wameona ni busara kukaa kimya bse Mwinyi alishawai kumponda na Ben anaogopa madhambi yake ya Kiwila,mahotel watu wanaweza yaaaaaaanika bure
Wameona ni busara kukaa kimya bse Mwinyi alishawai kumponda na Ben anaogopa madhambi yake ya Kiwila,mahotel watu wanaweza yaaaaaaanika bure
Maraisi wastaafu wanasoma na kutafakari mchakato mzima wa uchaguzi,labada watajitokeza saa za majeruhi.Lakini inawezekana hawakualikwa kumpigia kampeini kwa sababu labda ya tofauti zao binafsi na mgombea wa chama chao.Isitoshe Kampeini meneja BW Kinana anaweza asiwahitaji kwani wanaweza wakawa mtaji hafifu kwa kipindi hiki.
Wana-JF:
Gazeti moja liitwalo Tahmini leo lina stori kuu ukurasa wa mbele kwamba marais wastahafu -- Ali Hassan Mwinyi na Benjamin Mkapa wamekacha kumkampenia JK, kwa sababu wanaogopa kuumbuliwa na masuala ya ufisadi.
Hili gazeti, ambaloi hutoka kila Jumatatu nimelipenda sana na linakuja juu sana siku hizi kwani haliko katika class ya HOJA, TAZAMA, SAUTI YA UMMA, MTANZANIA, CHANGAMOTO, RAI au TAIFA TANZANIA yanayomilikwa au kufadhiliwa na mafisadi. TATHMINI ni gazeti linaloandika mambo objectively ambayo yanareflect hali halisi ya kisiasa ya nchi hii, siyo majungu au kupakana matope.
Kwani ni lazima marais wastahafu wampigie kampeni JK? Wameamua kukaa kimya kwa sababu wameona mgombea wao anakubalika kwa wananchi bila matatizo yeyote
Ulevi mwingine bana..jk anakubalika.? Hahaaaaaaaa
Weee pale Mkata na Msoga akakubalika vibaya na si unajua sehemu hizo ndiyo kuna wapiga kura wengi sana!
Kwani ni lazima marais wastahafu wampigie kampeni JK? Wameamua kukaa kimya kwa sababu wameona mgombea wao anakubalika kwa wananchi bila matatizo yeyote
Na kule Bagamoyo pia anakubalika sana ila kwengine hakubaliki
Nasikia kuna mama alikuwa kwenye coaster ya M/sho - B/Moyo alishindwa kujizuia baada ya kuona bango kubwa la picha ya JK pale kona ya Kunduchi na kusema "Mwangalie kama mtu vile"