Kijana kijana
JF-Expert Member
- Mar 11, 2018
- 2,546
- 2,621
ama kweli dunia ina mambo,au kuna maana ingine ya handsome mbali na hii. Tunayoijua sisi mkuu?Kweli kenyata handsome na mtanashati kwa jicho lake lile mkuu?
Ata mi nashangaa mkuuama kweli dunia ina mambo,au kuna maana ingine ya handsome mbali na hii. Tunayoijua sisi mkuu?
Mkemia anavaaga masuti yana mikono mirefu pia alikuwa na mtindo wa kuvaa koti la suti na suruali rangi tofautiWapi Mkemia wetu....
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Mkemia anavaaga masuti yana mikono mirefu pia alikuwa na mtindo wa kuvaa koti la suti na suruali rangi tofauti
Mkemia mkuu ingekuwa list ya watu makatili na roho mbaya asingekosekanaWapi Mkemia wetu....
Kwenye watu mashuhuri kwa roho mbaya, hana mpinzaniMkemia mkuu ingekuwa list wa watu makatili na roho mbaya asingekosekana
Hata mimi nashangaaKenyatta handsome!!!
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] lile jicho ukutane naye alfajiri ndiyo kaamka mmmm [emoji15] [emoji15] [emoji15] wangemweka JK wetu sawaKweli kenyata handsome na mtanashati kwa jicho lake lile mkuu?
Haaaaa haaaaa[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Hakuchaguliwa tena hata huku,nahisi jina lake lilikatwa.
Kitu cha Arusha bado kipo kaziniObama bado ni rais?
Unautani sasa nawewe[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Dah yaani hapo nimewaza sana hata Mizengo yuko poa
Mswat na Uhuru nani handsome!Hii ni kwa marais tu ndugu,sio kwa wanaume wote.
Yaani nimecheka kweli Uhuru jamani[emoji23] [emoji23] [emoji23] , kwanza hajawa rais duu sijui alikuwaje lile jicho haaa haaa [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]Uhuru hafai jicho muda wote limekwiva sijui anakula nini
Nkutunzinza kweli anafaa
Hapana jamani hata kama ana roho ngumu lakini sio hiyo mpeni haki yakeMkemia mkuu ingekuwa list ya watu makatili na roho mbaya asingekosekana