Marais wateue waliosomea international relations kuwakilisha nchi kimataifa

Marais wateue waliosomea international relations kuwakilisha nchi kimataifa

Google Diggers

JF-Expert Member
Joined
Aug 29, 2015
Posts
944
Reaction score
1,138
Ndg zetu Wanaopata kuwa ambassadors wanaabisha nchi.

Mods naomba urekebishe title. Marais wateue waliosomea international relations and diplomacy

Mh Rais ateue wenye fani wataalamu wa uhusiano wa kimataifa wawakilishe nchi yetu kimataifa.

It's a joke kumuweka MTU kama bosheni
 
Ndg zetu Wanaopata kuwa ambassadors wanaabisha nchi.

Mods naomba urekebishe title. Marais wateue waliosomea international relations and diplomacy

Mh Rais ateue wenye fani wataalamu wa uhusiano wa kimataifa wawakilishe nchi yetu kimataifa.

It's a joke kumuweka MTU kama bosheni
Tanzania ni nchi ambayo mtu anateuliwa kwenye kitengo ambacho hajakisomea.

Tanzania rafiki, ndugu au jamaa yako akipata nyazifa, basi ni wakati wa nyie kupewa teuzi!

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom