Marais wote wa vyuo vikuu lazima wajiuzulu

NAAMINI

JF-Expert Member
Joined
Oct 14, 2013
Posts
672
Reaction score
235
ndugu zangu wanazuoni kutokana na hali tete ya
kupata pesa za field na kwa ukimya wa marais
wa vyuo vikuu pamoja na TAHLISO napenda
kutoa wazo ya kuwa mwezi wa kumi tukifungua
vyuo vyote Tanzania tunaomba marais wajipime
na wajiuzulu kabla ya nguvu ya umma haijaamua....Kweli hawa jamaa wameshindwa
kuitisha hata press conference na kutuma
altumatum kwa government.....NAOMBA
WANAHARAKATI WA VYUO VYOTE TUSHIRIKIANE
KUHAKIKISHA TUNAWATOA WATU
HAWA....KATIKA HILI SITARUDI NYUMA NA NIPO TAYARI KUFA NIKISIMAMIA HILI.... Naomba mnipm ili tujue tunafanyeje na
tunaorganize vp mapinduzi haya... Wenu katika harakati za ujenzi wa taifa letu...
 
Sio maraisi wote bana!
Mbona DIT hela zilitoka mapema tu mwezi wa sita?
 
Tatizo la nchii hii hakuna watu wapuuzi kama nyie mnaojiita wasomi, mnaendekeza njaa vibaya sana, mnajifanya kupiga kelele ili mpate uungwaji mkono kisha muende kwa mafisadi wawape chochote. Tunaona hata huku mitandaoni waliojazana ni vijana wasomi mliopewa tablets, laptops nk kutetea maslahi ya mafisadi na kuishia kuchafua wazalendo ili muajiriwe kwenye taasisi za serekali hatimaye muishie kuharibu taasisi hzo kwa kuwa wala rushwa.
 

!
!
makavu live.
 

very true mkuu..njaa zina2maliza vijana
 
Mbeya University of Science and Technology hela ya field ilitoka mapema,nadhani baadhi ya vyuo ambavyo hawajapata ndio wafikirie hilo wazo.
 
mpeni urais prof. anna tibaijuka akomeshe upuuzi huu. Vijana acheni kutumika then mnatupwa kama taka
 

The Hidden FACT!!
 
wengine mpaka tunaondok chuoni tulikuwa hatujalipiwa ada,mnaofany field ivumilien serikal yetu skivu ya ccm tunayoiamini toka uhuru
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…