ni ipi dawa nzuri ya maralia wana jf wenzangu?yan nahic hii yan ni clonic sana kwan mwez haupt bila kuumwa maralia,dawa ambazo nimeshajaribu sana ni metacafin,mseto na dawa moja iv inauzwa elf kumi but hola,yan ndugu zang napata hata wivu kuona wenzangu hukaa zaid ya mwaka bila kuugua maralia.naomben msaada wa ndugu ni dawa gan nzuri ya maralia...