Nakushauri onana na daktari ana kwa ana umpe historia ya dawa ulizotumia kipindi cha nyuma, pia jitahidi sana kutoumwa na mbu, hili linawezekana, ukifaulu hili hata dawa hutameza tena kila wakati, mi nlikuwa nasumbuliwa sana na malaria, nyumbani nliamua muda wote milango iwe imefungwa, na kupuliza dawa mara kwa mara, kwa kufanya hivi hata nzi wanakuwa nadra ndani, pia ofisin jion navyotoka siku nyingine naacha nimepuliza dawa. Tangu 2009 sijaumwa malaria, mwezi huu ndo nimeumwa. Na najua nliumwa mbu kwenye treni nikiwa safarini