Huyu Jaji Mkuu wetu ni mmojawapo wa watu wanaostahili kuzomewa kila wanapopita Tanzania. Hukumu aliyosimamia ya mgombea binafsi iliondoa kabisa heshima ya Mahakama Tanzania.
Mtu Mzee na heshima zake kwanini anaogopa kuwa huru? Kila atakapoongea sasa atazidi kuwakasirisha Watanzania. Heri ajikalie kimya, asubiri Slaa akomboe nchi toka mikono ya wabakaji, wasafirishaji wa wa nyara za serikali, wezi wa fedha za EPA, na wafanyabiashra wakubwa wa dawa za kulevya.