Hii inatia moyo sana na kufurahisha!!! Mnyika mara hii lazima achukue jimbo la Ubungo kwani CCM wamemuweka weak candidate na kweli kura zikilindwa kwa mtindo wa mawakala 3 kila kituo wasiojuana, rushwa itakuwa ngumu na kijana atachukua jimbo.
Mnyika, take my words, wana Ubungo tuko nyuma yako!!!!
Tiba