Shabiki wa Liverpool weweHabari za muda huu wanasports wenzangu?
Kipa hapa mbele yenu kutoa views zangu kuhusu huyu goal keeper number 1 wa Barca bwana marca Andre terstegen kwa umahiri anaouonyesha sasa ni wazi kabisa atasubua sana kwa magoal keeper wenzake kufikia uwezo wake
Kwa msio mfahamu picha hiyo hapoView attachment 724047
Huyo ndiyo mkombozi wa sasa wa team ya ujerumani toka kuumia kwa mkongwe NEUR
anasifika kwa umahili wake wa kupiga passes kutulia katika eneo lake na kuokoa zile one against one chances
Yangu ni hayo tu wakuu
Shabiki wa Liverpool weweHabari za muda huu wanasports wenzangu?
Kipa hapa mbele yenu kutoa views zangu kuhusu huyu goal keeper number 1 wa Barca bwana marca Andre terstegen kwa umahiri anaouonyesha sasa ni wazi kabisa atasubua sana kwa magoal keeper wenzake kufikia uwezo wake
Kwa msio mfahamu picha hiyo hapoView attachment 724047
Huyo ndiyo mkombozi wa sasa wa team ya ujerumani toka kuumia kwa mkongwe NEUR
anasifika kwa umahili wake wa kupiga passes kutulia katika eneo lake na kuokoa zile one against one chances
Yangu ni hayo tu wakuu
Makipa wanaokuwa barca huwezi wajua ubovu wao mpaka waondoke barca.Team inamiliki mpira kila muda so kipa hana stress.De gea amethibitisha ubora wake kwa kuwa yuko utd na amefanya makubwa ingawa team lake bovuHuyu n goalkeeper mzur Sana kuwah kutokea ktk kipind hik Ni zaid Ya DE gea ingawa Mm n man u
Usikalili maisha brother goal keeper wa Bayer mbona ni bora wakati team yake inamiliki mpira?Makipa wanaokuwa barca huwezi wajua ubovu wao mpaka waondoke barca.Team inamiliki mpira kila muda so kipa hana stress.De gea amethibitisha ubora wake kwa kuwa yuko utd na amefanya makubwa ingawa team lake bovu
You know what I mean....Mkuu ulicho changia kinaendana na topic au stress za maisha zinakuchanganya?
Duh! Leta source ya hiyo news yako barca hawataki goal keeper mwingine wanaomtaka Alison ni Madrid kumreplace navasYou know what I mean....
Barca wants to replace ter na Alison.... Liverpool wanted Alison
Unajipiga kadansee tu
If ter is that good, is Barca watake kumuuza?
Ivi we jamaa wa ajabu sana, ivi unajua kazi ya kipa lakini? Ivi umewai sikia watu wana gombea kumsaini kipa kwaajiili ya pasi? Kazi kubwa na yamsingi ambayo itampa kila tunzo si kudaka wala kupiga pasinyingi. Kaziya kipa nikuzuia mpira usii ingie golini kwanamna yoyote ile. Ayo ya kupiga Pasi nyingi ni mbwembwe tu.Marc Andre ter stergen ni mzuri zaidi ya de Gea Habib sababu anajua kupiga pasi kwa usahihi Gea akirudishiwa pasi anaipiga irudi ilikotoka kama kapewa mkaa wa moto vile.
Marc ni mtulivu sana golini tofauti na Gea.
Marc ni mzuri one against one tofauti na Gea.
Marc ngumu sana kumfunga magoli ya mbali.
Marc ndie golikipa anaepiga pasi nyingi uwanjani kumzidi Pogba.
Your hate for barca will kill you one day!Hamkaribii hata kidogo Jan oblak
Barca ain't planing to sell Mac Andre, not even in the near future!You know what I mean....
Barca wants to replace ter na Alison.... Liverpool wanted Alison
Unajipiga kadansee tu
If ter is that good, is Barca watake kumuuza?
Ndyo nimewahi msikia guadiora anataka goal keeper wa type hiyo kwaiyo acha uzwazwaIvi we jamaa wa ajabu sana, ivi unajua kazi ya kipa lakini? Ivi umewai sikia watu wana gombea kumsaini kipa kwaajiili ya pasi? Kazi kubwa na yamsingi ambayo itampa kila tunzo si kudaka wala kupiga pasinyingi. Kaziya kipa nikuzuia mpira usii ingie golini kwanamna yoyote ile. Ayo ya kupiga Pasi nyingi ni mbwembwe tu.
De gea hajakutana na wafungaji EPLSawa! Bado hajamfikia DE GEA.
WordIvi we jamaa wa ajabu sana, ivi unajua kazi ya kipa lakini? Ivi umewai sikia watu wana gombea kumsaini kipa kwaajiili ya pasi? Kazi kubwa na yamsingi ambayo itampa kila tunzo si kudaka wala kupiga pasinyingi. Kaziya kipa nikuzuia mpira usii ingie golini kwanamna yoyote ile. Ayo ya kupiga Pasi nyingi ni mbwembwe tu.
Pep alimsajili Bravo kisa anapiga pasi alivyokuja England alifungwa pamoja na kupiga hizo pasi ikabidi amnunue EdersonNdyo nimewahi msikia guadiora anataka goal keeper wa type hiyo kwaiyo acha uzwazwa