March 04 2013: Kenya's historic poll - Kenya decides!

If rejected it means its not a vote for that particular election (say presidential election), it remains to be a ballot and therefore not counted.

Katiba ya Kenya explicitly says winner must score 50% of cast votes+ 1 vote. He issue will require legal interpretation should the number of rejected votes make a difference to final outcome.
 
[h=5]2:37PM 233/291 Constituencies #IEBCOfficialTally: #Uhuru 5,000,900 #Raila 4,425,997 #Ballot2013[/h]
 
Mkuu imani yako sio ya kuhamisha milima tu bali mito na maziwa na bahari kabisa, kwa nini mwenye nyingi tusimwone kama mshindi badala yake unataka kutuaminisha kwamba mwenye chache ndo atashinda?

Mkuu kama ulikua kichwani mwangu, mshindi ni yule mwenye kura nyingi lakini yeye anataka tuamin yasiyoonekana.
 
Mkuu imani yako sio ya kuhamisha milima tu bali mito na maziwa na bahari kabisa, kwa nini mwenye nyingi tusimwone kama mshindi badala yake unataka kutuaminisha kwamba mwenye chache ndo atashinda?

Mkuu kama ulikua kichwani mwangu, mshindi ni yule mwenye kura nyingi lakini yeye anataka tuamin yasiyoonekana.
 
Wa-Kenya mtatoana roho safari hii!

Mpaka sasa hivi UhuRuto wako 5,004,424 na RAO wako kama 4,442,000 hivi ila mpaka sasa hivi hakuna aliyefikia hiyo 50% + 1 vote. Kazi ipo!!
 
Time 14:52 (EAT)

Uhuru - 5,004,406
Raila - 4,442,923

Ngoma bado nzito, Uhuru yuko kwenye 49.7%

Tiba
 

mh figganigga!naomba uniwie radhi kwa maneno yangu nitakayokuambia!hakika maneno yako umeongea kama mganga wa kienyeji!yaani tuache kufuata namba tubaki kuamini katika vitu ambavyo bado havijawa dhahiri?umeniangusha sana mkuu!uhuru atashinda kwa namba,oginga atashinda kwa namba,uchaguzi utarudiwa kwa namba!its all about numbers here nothing else!

samahani lakini kwa kukuambia ukweli!
 
Wa-Kenya mtatoana roho safari hii!

Mpaka sasa hivi UhuRuto wako 5,004,424 na RAO wako kama 4,442,000 hivi ila mpaka sasa hivi hakuna aliyefikia hiyo 50% + 1 vote. Kazi ipo!!
Tatizo hawa jamaa wanainclude na rejected votes na ili Uhuru ashinde anatakiwa amaintain gap la kura zaidi ya laki 6, na hapo tunaassume kwamba zile za wagombea wengine sita na rejected haziongezeki kwa kasi sana la sivyo wanaenda raundi ya pili.
 
Kenya wahuni, wanatoa matokeo stategically ili kuendelea ku buy and to hold international attention, ili to the D-day Kenya iwe kinywani na kichwani mwa kila mtu hata 'Mapanya'.
Huu ni aina ya utalii au promotion fulani hivi kuitangaza nchi kupitia uchaguzi ili iwe among the talked in the world.
 
Tatizo hawa jamaa wanainclude na rejected votes na ili Uhuru ashinde anatakiwa amaintain gap la kura zaidi ya laki 6, na hapo tunaassume kwamba zile za wagombea wengine sita na rejected haziongezeki kwa kasi sana la sivyo wanaenda raundi ya pili.
Kama katiba imesema hivyo hawana jinsi hapo ya kukwepa round ya pili
 

Take it from me, final results zitatolewa leo lakini haitakuwa kabla ya saa 6 usiku ili watu wakiamka wakute matokeo tayari kuepuka reaction za watu!!!!

Tiba
 
Zile debate zilimsaidia sana Mohamed Dida na maneno yake ya mzaha mzaha, kushika nafasi ya tano si mchezo, katika kuangalia mikutano ya kampeni sikuona hata siku moja mkutano wa Dida ukionyeshwa kwenye tv.
 
Time 14:52 (EAT)

Uhuru - 5,004,406
Raila - 4,442,923

Ngoma bado nzito, Uhuru yuko kwenye 49.7%

Tiba

demokrasia ni ghali sana kuigharamia,pengine uchaguzi utaenda round ya pili!mudavadi angebaki jubilee mambo yangekuwa yashaisha tayari!
 
Demokrasia ya nchi zetu ya ajabu sana. Watu wanaangalia tu nani kashinda bila kuangalia Kama haki imetendeka ktk mchakato wa kupata mshindi na mshindwa. Mi nafikiri HAKI ndo kitu cha msingi. Ni watu wacheche sana wanaoweza kugomea matokeo Kama wanaona kabisa wazi kwamba haki imetendeka. Haki inapoonekana kupindwa ndo mambo yanapoanza kuharibika.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…