Ha ha ha!achana na kibaka huyo mkuuKwani ikulu wanaenda kukwapua na kutoka spidi...hawaendi kuiba simu mkuu.Ujana wewe ndiyo unaokufaa kwa hiyo shughuli yako
hawajasema....source KTN TV na Citizen Radio
Inasikitisha ukute kaona matokeo ya kweli anayojua sio anayoona kwa TV?
Raila odinga 2013
kweli mkuuKura mill 14,zilizohesabiwa mill 4! Ngoma bado mbichi,subir waanze kuhesabu za nyanza ndo utajua nani mshnd,
Hivi huyu ni kweli mwizi wa simu!!?hivi ww ndo wanakuita mwizi wa simu?
Soon we are going to witnes a Kenyan Lipumba.
mie ni Tanzania lakini kwa hali ya ukabila iliyoigubika Kenya na watu wake,Uhuru akipita hata kama ni kula halali lakini nina hakika 100% huyo hafai kuiongoza kenya ila atakuwa ni rais wa kabila fulani huko kenya
itakuwa ni upumbavu wa hali ya juu kuwashawishi watanzania kuiga mfano toka kenya,tuige Tribalism?
16:05 Mr Kenyatta 2,664,462 (53.71%) against Mr Odinga's 2,072,596 (41.78%)......MAY GOD BLESS KENYA, GOD BLESS EAST AFRICA
mtazamo wangu utakuwa na uharisia namuhitaji kenyata ndio chaguo la mungu mungu huchagua vijana watumike.sipendi viongozi wazee.mf.mugabe.satta,slaa,odinga,belskon.shein.museven.odinga
According to Citizen Radio news bulletin at 4pm, Uhuru Kenyata has so far scooped 2.6 Million votes(53.8%) while Raila has scooped 2 Million votes (41.6%).