Baba mtata
JF-Expert Member
- Dec 6, 2012
- 280
- 40
Hivi inakuwaje nchi ndogo kama Kenya mpaka sasa wamehesabu asimilia 30% tuu ya kura? Kweli East Africa, we have long way to go.
Sijui kwa nini anawalumu Jubilee kuanza kusherehekea, hata kama ningekuwa mimi bila kujali matokeo ya mwisho Kalonzo anafikiri kuongoza toka jana ni mchezo.
muda mfupi kama saa moja ilopita Uhuru alikuwa na silimia 55 na Odinga 40. sasa hivi 17:34 Uhuru ni 53.6 na Odinga ni 42. hii ni kwa mujibu wa Kenya Elections 2013 - Daily Nation
17:20 13,309 polling stations have reported. Mr Kenyatta leads with 2,707,839 votes; while Mr Odinga follows with 2,121,589. The tally of rejected votes keeps rising, it is now at 319,752 votes. The disputed votes are at 216. This tally puts Mr Kenyatta at 53.54 per cent, while Mr Odinga has 41.95 per cent. Counting is on going.
muda mfupi kama saa moja ilopita Uhuru alikuwa na silimia 55 na Odinga 40. sasa hivi 17:34 Uhuru ni 53.6 na Odinga ni 42. hii ni kwa mujibu wa Kenya Elections 2013 - Daily Nation
Mkuu mpaka sasa kambi ya Uhuru wana haki ya kusherehekea, ukiangalia kwa makini ngome kuu ya Raila ni iliyokuwa Nyanza province ambako asilimia kubwa ishahesabiwa lakini pia hiyo iliyokuwa Nyanza province baadhi ya sehemu ni ngome ya Mudavadi, ukija huku karibu na Rombo yaani maeneo ya Taveta ambako ni ngome ya Kalonzo na kwenyewe kushahesabiwa, Mombasa ambako Raila anakubalika kuliko Uhuru tayari kushahesabiwa, bado hasa maeneo ya Kaskazini na kati lakini hasa Nairobi ambayo kura ziko even distributed kwa hao jamaa wawili, kwa hiyo kwa mwenendo huu nadhan Uhuru yuko kwenye favor ya kupata ushindi.Suala sio kuongoza tokea jana bali ni kura za wapi zimeshahesabiwa. Kwa jinsi ninavyoona hii ngoma itaenda second round kwani aslimia za Uhuru zinazidi kupungua and we are talking about aproximately 5 millions votes out fourteen millions that were supposed to be casted. This game is too far from over; my advice, get your popcorns ready and enjoy the rollercoaster.
Ukijumlisha 50%+54%=104%
hii ngoma inarudiwa! ila sijau kurudia ni baada ya muda gani! please tell.
Mpaka sasa Uhuru 54%.
Raila 41%
Kura bado znaendelea kuhesabiwa mpambano ni mkali
asilimia ni zaidi ya 100?
Sasa hivi saa 1800hrs
Uhuru 5.48% 2,726,266 , Odinga 41.98% 2,139,951.
Source CITIZEN TV
Nitolee mfano wa mbunge wa Tanzania aliyetekeleza ahadi zake na akarudi bungeni kwa sababu hiyo, na uniambie ni nani na ni ahadi gani hizo.
Nitolee pia mifano ya wabunge ambao wamekataliwa kwa kutotimiza ahadi zao.
Hivi Juma Kapuya, John Komba, Anna Makinda na Abas Mtemvu, walitekeleza ahadi gani mpaka wakachaguliwa tena kama si ushabiki wa CCM? Hata jukumu la uwakilishi wa watu wao unaweza kujivunia nini.
ZeMarcopolo, ukipenda chongo utaita kengeza.