Marcus Fakana (18) afungwa Jela mwaka mmoja Dubai, kwa kosa la kufanya mapenzi na msichana wa miaka 17

Kosa la ubakaji hilo under 18
Hapana huyu mama wa binti nadhani ka take advantage kwa sababu tendo lilifanyika dubai ingekuwa UK huyo kijana asingekuwa na hatia.. UK consent ni 16 years ila btn young people usije mtu mzima ukajichanganya kama huku kwetu jitu zima linaparamia watoto.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…