Marefa kutoka Saudi Arabia waondolewa kuchezesha Kombe la Dunia, Urusi 2018

naona dini imekukaa sana mpaka kutukuza ujinga nchi usizo jua
Kuna sehemu yeyote nimetaja dini? Naona umeanza kujishtukia sasa,kumbe uliandika upuuzi wako kisa chuki ya udini? Haya tuambie sasa mbona UK hawana hata refa mmoja? Na wao wangeenda na mabomu?
 
Naona kuna wadada wa ki_saudia wameingia kwenye hii thread.
 
Sasa mliokuwa mnapiga kelele kuhusu marefa wa England msijifiche replacement ikifanyika Oliver ndani na ndio atachesha final Kama England haitaingia final note my word
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…