Marefa na mashindano ya AFCON 2024.

Marefa na mashindano ya AFCON 2024.

Chizi Maarifa

JF-Expert Member
Joined
Jul 29, 2013
Posts
10,931
Reaction score
24,816
Huyu referee anayechezesha pambano la Congo DR na Morocco ni muungwana sana. Wachezaju wa Morocco wakiwa wanatoka anawasindikiza anawaambia wasikimbie wasije wakaanguka wakaumia.

Naona mzozo mchezaji mmoja wa Congo kaamua kumchana referee kuwa inaonekana ana..... Na Morocco wamekasirika sana... Hapa ndo utawapenda waarabu huwa ni wakorofi. Hawa ni damu yangu kabisa...
 
Huyu referee anayechezesha pambano la Congo DR na Morocco ni muungwana sana. Wachezaju wa Morocco wakiwa wanatoka anawasindikiza anawaambia wasikimbie wasije wakaanguka wakaumia.

Naona mzozo mchezaji mmoja wa Congo kaamua kumchana referee kuwa inaonekana ana..... Na Morocco wamekasirika sana... Hapa ndo utawapenda waarabu huwa ni wakorofi. Hawa ni damu yangu kabisa...
Wewe ni mwarabu Koko wa haki ya mungu baba yangu ni mwarabu koko
 
Back
Top Bottom