Ukiangalia performance ya Marefa wa Ligi Kuu ya Uingereza pamoja na kuwepo kwa VAR bado wana maamuzi dhaifu sana.
Waamuzi hawa wamelalamikiwa mara kwa mara lakini hawabadiliki. Tarehe 12 Mei 2022 Refa Paul Tierney ametoa a very soft penalty kwa Spurs dhidi ya Arsenal.
Maamuzi mengine ya hovyo ni kama yalivyoandikwa hapa
www.dailystar.co.uk
Inatia kinyaa sana kwa EPL kuwa na very incompetent referees.
Hawana tofauti kabisa na wa NBC Premier League ya Bongo basi tu kwa vile hawa ni Wazungu
Waamuzi hawa wamelalamikiwa mara kwa mara lakini hawabadiliki. Tarehe 12 Mei 2022 Refa Paul Tierney ametoa a very soft penalty kwa Spurs dhidi ya Arsenal.
Maamuzi mengine ya hovyo ni kama yalivyoandikwa hapa
6 utterly horrendous VAR decisions in the Prem this weekend as refs have stinker
Premier League referees had a tough time of it over the weekend, with a number of controversial decisions across the 10 fixtures, including some that VAR missed
Inatia kinyaa sana kwa EPL kuwa na very incompetent referees.
Hawana tofauti kabisa na wa NBC Premier League ya Bongo basi tu kwa vile hawa ni Wazungu