FK21
JF-Expert Member
- May 27, 2019
- 8,600
- 10,760
Kulikuwa na wimbi la kuziumiza baadhi ya timu na kuzinufaisha Simba na Yanga pekee, sasa nawapongeza waamuzi kwa kusawazisha mzani. Kama ni kubeba tuwabebe wote, kama siku hizi mnavyotupa penati Azam nafurahia mno.
Yusuph Bakharesa kama bahasha inatembea itembeze tu. Tuoneshane jeuri ya pesa mjini.
Azam Timu, Bora Bidhaa Bora!
Yusuph Bakharesa kama bahasha inatembea itembeze tu. Tuoneshane jeuri ya pesa mjini.
Azam Timu, Bora Bidhaa Bora!