Sijaangalia mechi mkuu, nitaliona kwenye vichekesho vya Mkalimani ogHahaaaa kama GOLI la Simba mkuu
Kesi yk maamuzi tarehe 4, japo Ufafanuzi wake una mikingamo, nililipenda Somo la 'social inference', kama weweMkuu kumbe hadi wewe unaujuwa mfungo? Kesi yako iliishaje kwani?
Wamuzi wanapochezesha game za Simba wanakuwa too hash kwa timu pinzan! Sijui Simba wanawapa nini🤣Kumekuwa na malalamiko kadhaa kuhusu marefa
Hakuna aliemsafi ila KUNA matukio ya AIBU AMBAYO unaweza shangaa limetoka neno baya
TUNAOMBA
Chama cha marefa wapen somoo maana ya mfungo na jinsi ya kuheshimu wanafunga
Else naona wengi wakiharibu swaumu zao kama wataendelea kuangalia hizi mechi za NBC