Marehemu aliuwawa na kitu kinachoruka-flying object


kwani daktari ni mtaalam wa silaha? Hii angepewa mtaalam wa silaha angetoa jibu muda huo huo hadi kama risasi ni ya pisto, smg, au rifle na umbali aliokuwepo shooter! sio daktari ambaye anaandika kafa kutokana na kuvuja damu nyingi!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…