Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dr. Slaa aliahidi kuwa atamsaidia mke wa marehemu Mwangosi kusomesha watoto. Alifanya hivyo mbele ya kadamnasi kwa microphone aliyolazimisha apewe ili atangaze kwa sauti kubwa.
Cha kusikitisha ni kwamba sasa hivi kila mke wa Mwangosi akimpigia simu kumkumbusha msaada alioahidi Dr. Slaa hapokei simu!!!
Hizi siasa za ujanja ujanja na ulaghai zinaliharibu taifa...
Msemaji wa mjane?
Dr. Slaa aliahidi kuwa atamsaidia mke wa marehemu Mwangosi kusomesha watoto. Alifanya hivyo mbele ya kadamnasi kwa microphone aliyolazimisha apewe ili atangaze kwa sauti kubwa.
Cha kusikitisha ni kwamba sasa hivi kila mke wa Mwangosi akimpigia simu kumkumbusha msaada alioahidi Dr. Slaa hapokei simu!!!
Hizi siasa za ujanja ujanja na ulaghai zinaliharibu taifa...