brasy coco
JF-Expert Member
- Apr 25, 2012
- 1,489
- 900
Sema kweli japo chungu[emoji24]
Ndugu zangu tunakumbuka vyema msanii maarufu kanumba namna ya kifo chake kilivyotokea lakini MTU huyo ambaye Leo amehukumiwa pia alkuwa ni muhanga Wa marehemu kanumba.
Kwa maana ya kwamba kanumba nae alivunja sheria ya nchi kwenda kutembea na Katoto kama lulu wakat huo lulu ana miaka 17 jamni hivi kama we ni mzaz unajiskiaje mwanao kuharibiwa na libabu kama kanumba???
Japo Tumekatazwa kusema mabaya ya marehemu ila tuseme kidogo.
Bwana huyu ndiye chanzo cha kumuharibu lulu Wa watu na bwana huyu ndo sababu ya kumsababishia lulu matatzo kwa uzembe wake Wa ulevi na kupenda vitoto hali ya kuwa wakat huo lulu hakuwa na uwezo Wa akili Wa kutosha kupambanu mambo kutokana na umri wake.......
Mahakama haikutazama hili haikutazama marehemu alkuwa mkosaji marehemu alkuwa akimpiga Mtoto lulu.
Lulu kaonewa kesi irudi mahakamani apate haki yake........
Hata kama maelezo kajikanyaga lulu bado ni mdogo hana uwezo huo na ukitazama kesi inayomkubali ni nzito.....
Kanumba alkuwa akimbaka uyo Mtoto kwa umri wake maana alkuwa chini ya miaka 18 wakat mama lulu akiamini kama kaka kwa lulu kumbe yeye alkuwa akimkuza Mtoto lulu......
Ndugu zangu tunakumbuka vyema msanii maarufu kanumba namna ya kifo chake kilivyotokea lakini MTU huyo ambaye Leo amehukumiwa pia alkuwa ni muhanga Wa marehemu kanumba.
Kwa maana ya kwamba kanumba nae alivunja sheria ya nchi kwenda kutembea na Katoto kama lulu wakat huo lulu ana miaka 17 jamni hivi kama we ni mzaz unajiskiaje mwanao kuharibiwa na libabu kama kanumba???
Japo Tumekatazwa kusema mabaya ya marehemu ila tuseme kidogo.
Bwana huyu ndiye chanzo cha kumuharibu lulu Wa watu na bwana huyu ndo sababu ya kumsababishia lulu matatzo kwa uzembe wake Wa ulevi na kupenda vitoto hali ya kuwa wakat huo lulu hakuwa na uwezo Wa akili Wa kutosha kupambanu mambo kutokana na umri wake.......
Mahakama haikutazama hili haikutazama marehemu alkuwa mkosaji marehemu alkuwa akimpiga Mtoto lulu.
Lulu kaonewa kesi irudi mahakamani apate haki yake........
Hata kama maelezo kajikanyaga lulu bado ni mdogo hana uwezo huo na ukitazama kesi inayomkubali ni nzito.....
Kanumba alkuwa akimbaka uyo Mtoto kwa umri wake maana alkuwa chini ya miaka 18 wakat mama lulu akiamini kama kaka kwa lulu kumbe yeye alkuwa akimkuza Mtoto lulu......