Marehemu Kufungua Jicho Moja Wakati Wa Kuaga Mwili Wake!! Nini Sayansi Nyuma Ya Hili Jambo??

mzama chumvini

JF-Expert Member
Joined
Mar 14, 2016
Posts
730
Reaction score
642
Sabakheri Wadau; Kuna Kipind Rafik Yangu Mmoja Alikufa!! Asa Wakati Wa Kumuweka Kule Mortuary Macho Yote Tuliyafumba Na Nilijionea Kwa Macho Yangu! Sasa Kuuleta Mwili Nyumbani! Kufungua Sanduku Tunaona Jicho Moja Limefumbuka!! Mmmh! Kidogo nikimbie Sema Nashukuru Kuna Mzee Alikuja Na Kunisaidia Kwani Aliniona Nilivyokuwa Na Vibrate!! Bas Baada Ya Kuzika Ikabid Niwaone Watu Wazima Na Kuwauliza Nin Chanzo Cha Lile Jambo! Naona Kila Mtu Na Jibu Lake! Ila Mzee Frank Ndo Akaniacha Njia Panda! Eti Ukiona Hvyo Ujue Zako Zimekaribia Pia! Wadau Hembe Nieleweshen Hapo? Hii Sayans Ngumu

mshana jr
 
Haaa haaaa duh weka mambo yako vizuri muda si mrefu utaungana nae.
 
siungemwambia ahamke ndugu? Ndiyo maana alikuangalia maana ulikuwa na Anoint ndiyo maana alikutazama akitarajia umwamshe mkuu.
 
Hapo Kuna kitu Uchawi jamaa atakua kachukuliwa Nsukule , Hilo lilikua Roboti Tu msela alikua keshachukulia zamani.
 

Ngoja nshana Jr aje


mshana jr watu wanakuita huku
Ile mada ya kuna watu hufa mara mbili ina majibu yote
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…