habari ya hapa JF-Expert Member Joined Dec 20, 2012 Posts 12,791 Reaction score 8,749 Mar 23, 2016 #41 Baada ya mwaka unakufa kaokoke
Dream Queen JF-Expert Member Joined Nov 4, 2015 Posts 8,263 Reaction score 18,201 Mar 23, 2016 #42 Kifo hicho mzeya, Kama vp toa urithi mapemaaaaaaa
Wonderful JF-Expert Member Joined Apr 8, 2015 Posts 7,347 Reaction score 5,986 Mar 23, 2016 #43 Huyo mzee aliyesema zako zimekaribia kapatia.
Aurora JF-Expert Member Joined May 25, 2014 Posts 7,308 Reaction score 5,272 Mar 23, 2016 #44 whitehorse said: Ahahahahah jamani Lin ulikazia macho maiti hadi uone Hilo tabasamu ahahahahaahhahhahah Click to expand... tulikuwa kwenye foleni jamani, na wote tuliokuwa nyuma ya huyo mtoto tuliona
whitehorse said: Ahahahahah jamani Lin ulikazia macho maiti hadi uone Hilo tabasamu ahahahahaahhahhahah Click to expand... tulikuwa kwenye foleni jamani, na wote tuliokuwa nyuma ya huyo mtoto tuliona
Dokta Chriss Senior Member Joined Dec 27, 2014 Posts 104 Reaction score 82 Mar 25, 2016 #45 Wazee ni watu wa hekma, kama amekwambia kuwa ww ni tia maji, tia maji, niagieni niagieni, jiandae kisaikolojia zama zama chumvini mara ya mwisho mwisho!
Wazee ni watu wa hekma, kama amekwambia kuwa ww ni tia maji, tia maji, niagieni niagieni, jiandae kisaikolojia zama zama chumvini mara ya mwisho mwisho!