Phillemon Mikael
Platinum Member
- Nov 5, 2006
- 10,557
- 8,673
wadau mbunge wa mbeya vijiini..ndugu nyaulawa ni mgonjwa...sana ..tumkumbuke kwenye maombi...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
wadau mbunge wa mbeya vijiini..ndugu nyaulawa ni mgonjwa...sana ..tumkumbuke kwenye maombi...
....Ushirombo hii yako haijatulia unakemea kifo????? No way man kufa ni wajibu lakini kwa imani zetu tunawajibika kuwaombea wale wapendwa wetu wanapokuwa katika magumu ili pale mwenyezi mungu mwingi wa rehma awape unafuu basi...other wise hatuna la zaidi...Huyu mzee nakumbuka alienda tibiwa India, alikuwa akisumbuliwa na intestinal cancer, Eeeh Mungu mwingi wa rehema mponye mh Nyaulawa, nakemea nguvu giza na kifo, wote tuseme Amina.......
RIP Nyaulawa... Chanzo cha kifo?