Marehemu prof kigoma malima alikua na msimamo wa mfumo wa serikali mbili?

Riziki Magembe

JF-Expert Member
Joined
Apr 5, 2014
Posts
886
Reaction score
206
Wana jamvi naomba mwenye data za prof kigoma malima juu ya msimamo wake juu ya mfumo wa muungano atuwekee humu,je yeye alitaka mfumo wa muungano wa aina gani?
 
Mi natamani nisome machapisho yake ya kitaaluma
 
Si vema kuwazungumzia watu waliofariki maana mnaonekana ni wanafki wakubwa, wakati wako hai mlikuwa wapi msiwaongelee? Hui ndo unafki kabisaaa, akili ni empty hapo kama hapo chini unavyoona hiii picha...
View attachment 254054



heeeehe! kwani hii picha leo umetumiwa na nani maana naona unaitumia ipasavyo.....

Acha ujinga wewe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…