Analogia Malenga
JF-Expert Member
- Feb 24, 2012
- 5,108
- 10,191
Samahani mkuu,,hivi kiingereza ni lugha yako ya ngapi??[emoji849][emoji849]black Americans intend to overthrow Trump,Covid disease 9 has contributed to making Trump not president for a second term
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Samahani mkuu,,hivi kiingereza ni lugha yako ya ngapi??[emoji849][emoji849]
Hivi Biden akipita atakumbuka kuwa sisi tunatawaliwa na majambazi sugu ya kura kweli?Trump angekua Afrika angekua anaongoza kwa 98%
Watanzania wamepelekwa kwa mpalangeYaani tunao uhuru mkubwa kujadili na kuchambua uchaguzi wa watu wengine tena kwa kutumia VPN (sisi tumerogwa). Aliyetuzimia mtandao tunamsifia na kumuita "chuma". Uchaguzi wetu umefanyiwa 'masturbation' hadharani na wengine wakatulia kimya (wanajiita nyutro) leo bizee na Marekani
Trump angekua Afrika angekua anaongoza kwa 98%
Tena Wala Asingekuwa Na Hofu Ya Kiti Chake Maana Wangesema Ana Vyombo Vyote Atashindwa NiniTrump angekua Afrika angekua anaongoza kwa 98%
Mbona kura za Trump hazibadirikiNaona Trump anazidi kuning'inizwa p.u.m.b.u[emoji38]View attachment 1619743