Marekani: Howitzer za Ufaransa (CAESAR 155 mm Self Propelled Howitzer) zateketezwa vibaya mno Ukraine kwa artillery ya Urusi

Marekani: Howitzer za Ufaransa (CAESAR 155 mm Self Propelled Howitzer) zateketezwa vibaya mno Ukraine kwa artillery ya Urusi

Sikirimimimasikini

JF-Expert Member
Joined
Dec 27, 2019
Posts
2,926
Reaction score
15,634
Marekani yaripoti kuwa howotzer za Ufaransa (French CAESAR 155 mm Self Propelled Howitzer) zinachomwa vibaya na kuangamizwa na MLRS (Artillery) za Urusi nchini Ukraine.

Katika kuthibitisha hilo Marekani imeambatanisha na video iliyorikodiwa na drone (video ipo hapo chini) wakati artillery ya kirusi ikiichabanga na kuichoma nyang'a nyang'a hiyo 'self propelled' howitzer ya Ufaransa ambazo tumekuwa tukipigiwa 'makelele' mno hapa JF na kuaminishwa ati ni bora zaidi kuliko zana za kirusi.

Ukraine pia imethibitisha tukio hilo.
========

SmartSelect_20220813-103028_Chrome.jpg

Screenshot_20220813-103142_Chrome.jpg


 
Marekani yaripoti kuwa howotzer za Ufaransa (French CAESAR 155 mm Self Propelled Howitzer) zinachomwa vibaya na kuangamizwa na MLRS (Artillery) za Urusi nchini Ukraine.

Katika kuthibitisha hilo Marekani imeambatanisha na video iliyorikodiwa na drone (video ipo hapo chini) wakati artillery ya kirusi ikiichabanga na kuichoma nyang'a nyang'a hiyo 'self propelled' howitzer ya Ufaransa ambazo tumekuwa tukipigiwa 'makelele' mno hapa JF na kuaminishwa ati ni bora zaidi kuliko zana za kirusi.

Ukraine pia imethibitisha tukio hilo.
========

View attachment 2322770
View attachment 2322771

Kosa lipo wap hapo?
 
Marekani anazisifia HIMARS tu ila silaha zinazopelekwa na wenzake anaziponda sana.

Capabilities za HIMARS ni highly inflated deliberately by American military in collaboration with owners of American Military Industrial Complex, lengo hasa ni kutaka ku-promote mauzo ya HIMARS Duniani kwa kutumia vyombo vya habari na social media kuponda/kuzisema vibaya silaha zinazo uzwa na Warusi Duniani.

We jaribu kufatilia taarifa za vyombo vya magharibi kuhusu mwenendo mzima wa vita huko Ukraine - mwezi wote walikuwa wanazungumzia jinsi HIMARS rockets zilivyo fanikiwa kusambaratisha karibu S-300 zote za jeshi la Urusi nchini Ukraine,hawasemi chochote kuhusu kwamba actually Ukraine inamiliki zaidi ya S-300 mia moja ingawa idadi kubwa imekwisha haribiwa na makombora ya Urusi, halafu jeshi la Ukraine walivyo waongo picha na video clips nyingine kumbe ni war loses za jeshi la Ukraine mwaka 2014/15 zikiwemo
S-300, baadae wanakuja kutumia picha hizo hizo kuzunga Dunia kwamba zinaonyesha jinsi Russian S-300 zilivyo shambuliwa na kuharibiwa na HIMARS - kumbe ulaghai mtupu.

Tukumbuke jinsi NATO/USA wanavyo ogopa sana S-400 integrated Air defense System mpaka wakafikia hatua ya kutishia Taifa lolote Duniani litakalo thubutu kununua S-400 kutoka Urusi, hii inaleta picha gani, ni wazi NATO/US wanaogopa sana uwezo mkubwa wa S-400 ndio maana US inatumia sana vyombo vya habari kuharibia sifa S-400 kwamba si lolote si chochote mbele ya HIMARS, lengo hasa la US kuiharibia sifa S-400 hawataki iuzike Duniani, ndio walivyo.
 
Fake news. Hizo habari za kutengenezwa Wewe unasema ni Marekani wamesema.

Hiyo habari ni fake
 
Marekani yaripoti kuwa howotzer za Ufaransa (French CAESAR 155 mm Self Propelled Howitzer) zinachomwa vibaya na kuangamizwa na MLRS (Artillery) za Urusi nchini Ukraine.

Katika kuthibitisha hilo Marekani imeambatanisha na video iliyorikodiwa na drone (video ipo hapo chini) wakati artillery ya kirusi ikiichabanga na kuichoma nyang'a nyang'a hiyo 'self propelled' howitzer ya Ufaransa ambazo tumekuwa tukipigiwa 'makelele' mno hapa JF na kuaminishwa ati ni bora zaidi kuliko zana za kirusi.

Ukraine pia imethibitisha tukio hilo.
========

View attachment 2322770
View attachment 2322771


Habari sio ya kweli hiyo. Marekani habari zao haziwi kwenye vidomains vya uchochironi. Hiyo ni habari za kupika wanatengeneza Warusi.
 
Habari sio ya kweli hiyo. Marekani habari zao haziwi kwenye vidomains vya uchochironi. Hiyo ni habari za kupika wanatengeneza Warusi.
Kama hii ni ya kupika hebu leta ya kwako hata ya kukaanga tuujue ukweli.
 
Marekani yaripoti kuwa howotzer za Ufaransa (French CAESAR 155 mm Self Propelled Howitzer) zinachomwa vibaya na kuangamizwa na MLRS (Artillery) za Urusi nchini Ukraine.

Katika kuthibitisha hilo Marekani imeambatanisha na video iliyorikodiwa na drone (video ipo hapo chini) wakati artillery ya kirusi ikiichabanga na kuichoma nyang'a nyang'a hiyo 'self propelled' howitzer ya Ufaransa ambazo tumekuwa tukipigiwa 'makelele' mno hapa JF na kuaminishwa ati ni bora zaidi kuliko zana za kirusi.

Ukraine pia imethibitisha tukio hilo.
========

View attachment 2322770
View attachment 2322771


Haya madude wanayapelekaga kufanya nini aisee🤣🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom