Marekani imepeleka Wanajeshi 10.000 nchini Saud Arabia. Je, wanajiandaa Kupigana vita nani? Iran Au Yemen Au Hezbollah?

Marekani imepeleka Wanajeshi 10.000 nchini Saud Arabia. Je, wanajiandaa Kupigana vita nani? Iran Au Yemen Au Hezbollah?

Herbalist Dr MziziMkavu

JF-Expert Member
Joined
Feb 3, 2009
Posts
42,872
Reaction score
34,363
Amerika amepeleke Majeshi 10.000 nchini Saud Arabia . Je anajiandaa Kupigana vita nani? Iran Au Yemen Au Hezbollah? Ninajiuliza Swali mpaka sas sijapata jibu lake hebu nijibu hilo swali kama unaweza kulijibu.


 
Amerika amepeleke Majeshi 10.000 nchini Saud Arabia . Je anajiandaa Kupigana vita nani? Iran Au Yemen Au Hezbollah? Ninajiuliza Swali mpaka sas sijapata jibu lake hebu nijibu hilo swali kama unaweza kulijibu.


View attachment 2812140
Kwa hiyo warabu na Waislam wa Nchi ya Hijaaz , Nchi ya Mtume Muhammad (saw) inatumima kupigana na waislam wenzake?

Kweli hizi dini zilikuja kama utapi tu kwa dunia.
 
Amerika amepeleke Majeshi 10.000 nchini Saud Arabia . Je anajiandaa Kupigana vita nani? Iran Au Yemen Au Hezbollah? Ninajiuliza Swali mpaka sas sijapata jibu lake hebu nijibu hilo swali kama unaweza kulijibu.


View attachment 2812140
Sijui kwanini nawaonea huruma hao Wanajeshi.....kuna kazi vingine bwana.
 
Ya kwamba Iran ndo ya kupelekea wanajeshi 10,000?
 
Ya kwamba Iran ndo ya kupelekea wanajeshi 10,000?
Huyo Iran Hana uwezo wa kupambana na USA, Iran anaweza kuzuia airforce ya USA? Ni suala la muda tu atapigwa kwa sababu anaonyesha chuki zisizo na sababu kwa USA , Israel, ameshindwa kufanya mambo yake ya maendeleo kimya kimya, nchi kama Russia, China huwa hazichokozi USA na haziko tayali kuingia vita na USA , hatujaona Rusia analipua base za USA huko Syria Bali Rusia anamheshimu sana USA lakini Kila siku Iran anaitishia USA kuwa ataiangamiza, mara Nina missile za kuharibu miji ya USA, Iran ana chuki na taifa la Israel kuliko nchi yoyote ya kiarabu, kwa mazingira hayo lazima ashughulikiwe kabla hajaleta madhara
 
Huyo Iran Hana uwezo wa kupambana na USA, Iran anaweza kuzuia airforce ya USA? Ni suala la muda tu atapigwa kwa sababu anaonyesha chuki zisizo na sababu kwa USA , Israel, ameshindwa kufanya mambo yake ya maendeleo kimya kimya, nchi kama Russia, China huwa hazichokozi USA na haziko tayali kuingia vita na USA , hatujaona Rusia analipua base za USA huko Syria Bali Rusia anamheshimu sana USA lakini Kila siku Iran anaitishia USA kuwa ataiangamiza, mara Nina missile za kuharibu miji ya USA, Iran ana chuki na taifa la Israel kuliko nchi yoyote ya kiarabu, kwa mazingira hayo lazima ashughulikiwe kabla hajaleta madhara
Kafiri hana rafiki muislam. Ukijipendekeza kwake umekwisha
 
Huyo Iran Hana uwezo wa kupambana na USA, Iran anaweza kuzuia airforce ya USA? Ni suala la muda tu atapigwa kwa sababu anaonyesha chuki zisizo na sababu kwa USA , Israel, ameshindwa kufanya mambo yake ya maendeleo kimya kimya, nchi kama Russia, China huwa hazichokozi USA na haziko tayali kuingia vita na USA , hatujaona Rusia analipua base za USA huko Syria Bali Rusia anamheshimu sana USA lakini Kila siku Iran anaitishia USA kuwa ataiangamiza, mara Nina missile za kuharibu miji ya USA, Iran ana chuki na taifa la Israel kuliko nchi yoyote ya kiarabu, kwa mazingira hayo lazima ashughulikiwe kabla hajaleta madhara
Hivi una akili kweli? ebu soma ulicho kiandika kwanza.
 
Back
Top Bottom