#COVID19 Marekani inatarajia kutoa 'booster vaccine' kwa watu wote waliopata chanjo

Booster dawa ya nyanya shambani kwangu au nijidunge hii tumalizane
 
Sijui mpango wa hili/haya mataifa ni ipi.
Lakini kila kukicha wanaleta habari mpya.

walisema chanjo ni kwa walio chini ya miaka 18(if not mistaken)

lakini sasa wameshatoa ya watoto.

WORSE ENOUGH
sasa wanasema kwa waliopata chanjo tayari wanahitaji “BOOSTER”

specific kwa walipata from Pfizer and BioNTech. Although wamesema kwa walio na matatizo ya kudumu Au walio na afya isio imara(immune problems)

hofu yangu!
Itakuaje iwe lazima kila mwaka tuchome “BOOSTER”!?

kwa Ninacho amini,
To win the health system market game, is to creat a problem and promise for dependent solution!

what you think ndugu masomaji
 
They just want total protection

death due to Covid Kwa alaiochanjwa ni negligible compared to unvaccinated
Is your statement supported by a research or you just wrote it for the sake of writing.....nakupa homework try to find out death data for COVID-19 vaccine reactions for USA and other European countries,then ndo uje na tamko lako😁😁😁😁
 
Endeleeni kujazana ujinga!! Askofu Rasheed anadai chanjo ina madhara; je hiyo habari inaonesha kwamba chanjo ina madhara au mmeishia kusoma heading tu?
Ma anti-vaxxers ni kama kuku waliokatwa vichwa
 
Du sasa binadamu kageuka'' nyani wa maabara''
 
Mkuu yani unamaanisha waliochanjwa ndo wanakufa zaidi??? Sasa hii huku bongo kwann tunataka kulazimishana watuache kidogo
Wacheni kusoma kwa kutumia viungo visivyohusika. Marekani wanasema wanaokufa na kulazwa hospital kwa wingi sasa hivi ni wale ambao walikataa kuchanjwa. ''While there are fresh surges of virus across the country, nearly all of the people becoming severely ill with Covid-19 now are completely unvaccinated.''
 
Booster shot ilikwishatangazwa Cambodia toka tarehe 1 ya mwezi huu wa nane, sasa wanafuata Marekani!
Cambodia wao wameenda mbali zaidi, kuwataka raia wachome hiyo booster kutoka katika chanjo tofauti na ile waliyochanjwa awali. Mfano kama dozi mbili za awali zilikuwa za AstraZeneca, booster shot itatakiwa iwe Sinovac!

 
Kama alivyowahi kuwaambia ana uwezo wa kufufua wafu na mkamPigia makofi, sio!! Btw, ana maana aliposema:-
Anamaanisha nini anaposema "anayependa kuishi"? Anamaanisha anaposema (kama unataka kuchanja) kwa HASARA YAKO? Au kwavile hajataja neno madhara ndo unaoana hajasema ina madhara?!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…