wastani kwa idadi
JF-Expert Member
- Jun 28, 2024
- 503
- 1,432
Marekani inachangia kila mwaka dola milioni 500 (shilingi Trilioni 1.2) kwenye shirika la afya duniani.
mataifa mengine yana watu wengi zaidi mfano China, ina watu zaidi ya bilioni 1 inachangia Dola milioni 20 (shilingi bilioni 50) .
Marekani baada ya kuona pesa zao zinafujwa, Trump kaamua kusitisha michango.
Kelele na Lawama nyingi zimezuka baada ya Marekani kusitiha misaada kukiwa na malalamiko ya ufinyu wa bajeti.
Nchi za Afrika zimekuwa mstari wa Mbele kutoa Lawama lakini ni viongozi hao wanaolalamika wanaongoza kwa kutapanya misaada inayotolewa kila mwaka inayoishia mifukoni mwa wachache.
Sio shirika la afya tu, Kwenye ulinzi wa nchi za Ulaya (NATO) Marekani ndie anaechangia zaidi, nchi zote za ulaya zinategea kukwepa michango.
mataifa mengine yana watu wengi zaidi mfano China, ina watu zaidi ya bilioni 1 inachangia Dola milioni 20 (shilingi bilioni 50) .
Marekani baada ya kuona pesa zao zinafujwa, Trump kaamua kusitisha michango.
Kelele na Lawama nyingi zimezuka baada ya Marekani kusitiha misaada kukiwa na malalamiko ya ufinyu wa bajeti.
Nchi za Afrika zimekuwa mstari wa Mbele kutoa Lawama lakini ni viongozi hao wanaolalamika wanaongoza kwa kutapanya misaada inayotolewa kila mwaka inayoishia mifukoni mwa wachache.
Sio shirika la afya tu, Kwenye ulinzi wa nchi za Ulaya (NATO) Marekani ndie anaechangia zaidi, nchi zote za ulaya zinategea kukwepa michango.