BigBro
JF-Expert Member
- Jan 9, 2010
- 3,585
- 11,601
Hawa jamaa kila Olympics wanazoa medali balaa.
Wamepeleka wanamichezo 600+. Hadi sasa wana medali 101. China ndo inawafuatia.
Hakwenda kiongozi yoyote wa serikali zaidi ya makocha wa kila mchezo.
Wanaoshinda medali wote wanalipwa wakirudi US, kwanini tusijifunze kwao?
Wamepeleka wanamichezo 600+. Hadi sasa wana medali 101. China ndo inawafuatia.
Hakwenda kiongozi yoyote wa serikali zaidi ya makocha wa kila mchezo.
Wanaoshinda medali wote wanalipwa wakirudi US, kwanini tusijifunze kwao?