Otorong'ong'o
JF-Expert Member
- Aug 17, 2011
- 37,957
- 26,414
Kuna vitu vingine havihitaji utafiti yani kwa kuangalia tu unang'amua...Kwa utafiti upi ulio fanya nyie ndo darasani mlikuwa mnafauli kwa bahati tu maana hamtaki kushughulisha vichwa kabisa
Kwani mtv ndio maisha ya kila siku ya mwanamuziki au mimi zuzu kuelewa?Hilo wasema ww
Sio saida?Msiwe mnasema hitmaker wa salome maana aliyefanya ile nyimbo ihit ni ray
N8meuliza huko juu hizi events za tuzo ndio maisha ya kila siku ya mwanamuziki au sehemu tu ?jamaniii mbona aibu kwa mtu mzima kuongea hivi
kwa hiyo ronaldo alipokosa tuzo kwa miaka 4 mfululizo alikua mbovu au ?
au p square kutochukua tuzo kwamba wamepotea au hawajui
jamaniii
Mlianza kusema hivyo tangu 20% amepata tuzo 5, ila kila mnachokisema anawaumbuaDiamond kama ameshaanza kupotea....Toka alivyoboronga kwenye MTV hakuna mtu mwenye tyme naye..
Kisa alipafom chini ya kiwango MTV so ndo kisa cha yy kupoteaMlianza kusema hivyo tangu 20% amepata tuzo 5, ila kila mnachokisema anawaumbua
Me bado nina time naye ndio maana nimeingia kwenye huu uzi...nisingekuwa na time naye nisingehangaika na habari yoyote ambayo heading yake ina jina la diamond au WCBDiamond kama ameshaanza kupotea....Toka alivyoboronga kwenye MTV hakuna mtu mwenye tyme naye..
BET, Mtvbase wenyewe waliisifia show yake halafu hata kama aliboronga kama unavyodai wewe haiwezi ikawa kigezo cha yeye kusaulika kirahisi kama unavyofikiria nakumbuka tangia mwaka 2012 mnatabiri mara hoo huu ndo mwaka wake wa mwisho lakini kila mwaka kijana anazidi kufanya wonders na kwa mazingira connections na investment alizozitengeneza diamond, wewe nakushauri chukua kiti ukae kabisa maana utasubiri sana kumuona huyu jamaa akishukaNi hali halisi...Tuache unafiki...
Mimi ni shabiki wa Diamond ila utumbo alioufanya kule MTV hauvumiliki.....
Ni hali halisi...Tuache unafiki...
Mimi ni shabiki wa Diamond ila utumbo alioufanya kule MTV hauvumiliki.....
mi nakuonaga mtu wa maana ila
mbona unakua kama mtu wa hovyo hovyo leo
maana ya collable ni nini sasa ??
Ushamba mzigo.....ukiambiwa kitu uelewe na sio kupinga kila kitu..wimbo wa davido na mikmill haujawahi pigwa marekani....kaa humoTeh teh huyu jamaa kwahiyo Msanii anayeshirikishwa ndiye anaamua kama wimbo uchezwe US? Mi nafikiri ubora wa wimbo ndicho kigezo kikubwa kama ni wimbo wa hovyo utawekwa kapuni tu!!
Nimegee ndugu ilinipita, aliharibu nn Chibu huko?Ni hali halisi...Tuache unafiki...
Mimi ni shabiki wa Diamond ila utumbo alioufanya kule MTV hauvumiliki.....
Diamond kama ameshaanza kupotea....Toka alivyoboronga kwenye MTV hakuna mtu mwenye tyme naye..
Hahaha we kweli hamnazo mwenzako anapiga show africa nzima sasa hivi wewe unaota kupotea? Endelea kusubiri mwendokasi kitundaNdo hivyo...Anahitaji nguvu ya ziada kuinuka...
Kitendo cha ku-perform poor kwenye MTV na kukosa tuzo ni safari tosha yeye kuanza kusahaulika kwenye game ya mziki....
Mwenzako yupo kwenye tour ya Africa ww unakuja na ngojera ya diamond kupoteaNdo hivyo...Anahitaji nguvu ya ziada kuinuka...
Kitendo cha ku-perform poor kwenye MTV na kukosa tuzo ni safari tosha yeye kuanza kusahaulika kwenye game ya mziki....