Marekani kuondoshwa Iraq kwa au kuingizwa gharama kubwa za kuivamia upya Iraq

Marekani kuondoshwa Iraq kwa au kuingizwa gharama kubwa za kuivamia upya Iraq

ngusillo

JF-Expert Member
Joined
Nov 5, 2019
Posts
1,064
Reaction score
2,017
Haya ni maoni binafsi yanayotokana na kitendo cha marekani kumuua kanda wa Quds Force Qasem Soleimani mapema leo.

Iran itajibu mapigo kwa kupeleka kikosi cha makamanda na wanajeshi wa kujiyolea kwa maelfu nchini Iraq kuikabili marekani.

Kikosi hiki kitaliteka jeshi la Iraq kisha kuanzisha vita rasmi ba marekani katika ardhi ya Iraq huku Iran ikijitenga na kusema ni wapiganaji wanaotaka kuikomboa Iraq kwenye ukaliwaji kimabavu na marekani.

Hapo marekani atatumia njia nyingi sana na gharama kubwa sana kuweza kushinda hiyo vita, au ataamua kuikimbia Iraq for good.

Endapo marekani atakimbia, Iraq itakuwa koloni rasmi la Iran na kutaundwa jeshi jipya la kimapinduzi mfano wa Hizbola kuilinda Iraq dhidi ya wavamizi wa nje.

Iran inaweza kufanya mapinduzi na kusimika utawala wa Washia huko Iraq na kumfukuza kabisa mmarekani kwenye ardhi ya Iraq anakoendelea kukalia kijeshi na kupora mafuta.
 
Ni maono binafsi au
Haya ni maoni binafsi yanayotokana na kitendo cha marekani kumuua kanda wa Quds Force Qasem Soleimani mapema leo.

Iran itajibu mapigo kwa kupeleka kikosi cha makamanda na wanajeshi wa kujiyolea kwa maelfu nchini Iraq kuikabili marekani.

Kikosi hiki kitaliteka jeshi la Iraq kisha kuanzisha vita rasmi ba marekani katika ardhi ya Iraq huku Iran ikijitenga na kusema ni wapiganaji wanaotaka kuikomboa Iraq kwenye ukaliwaji kimabavu na marekani.

Hapo marekani atatumia njia nyingi sana na gharama kubwa sana kuweza kushinda hiyo vita, au ataamua kuikimbia Iraq for good.

Endapo marekani atakimbia, Iraq itakuwa koloni rasmi la Iran na kutaundwa jeshi jipya la kimapinduzi mfano wa Hizbola kuilinda Iraq dhidi ya wavamizi wa nje.

Iran inaweza kufanya mapinduzi na kusimika utawala wa Washia huko Iraq na kumfukuza kabisa mmarekani kwenye ardhi ya Iraq anakoendelea kukalia kijeshi na kupora mafuta.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
"All options are on the table", hayo sio maneno yangu bali ya Rais Trump. Kabla ya maono yako hayo ambayo yanweza kuitwa mfu, Marekani inajua yote hayo na ina options zote.
 
"All options are on the table", hayo sio maneno yangu bali ya Rais Trump. Kabla ya maono yako hayo ambayo yanweza kuitwa mfu, Marekani inajua yote hayo na ina options zote.
Tusubiri tuone. Marekani amepambana Afghanistan miaka 20 hoola. Sasa hivi anaanza mazungumzo na Taleban
 
Mcha mbuzi [emoji238] .. acha ndoto za mchana.! Marekani sio nyepesi hivyo unavyoichukulia.!
 
Back
Top Bottom