Marekani kutuma kikosi maalumu cha jeshi Congo DRC kupambana na wanamgambo

Marekani kutuma kikosi maalumu cha jeshi Congo DRC kupambana na wanamgambo

Freed Freed

JF-Expert Member
Joined
Jun 27, 2017
Posts
6,547
Reaction score
7,167
Utawala wa Rais Joe Biden wa Marekani unajiandaa kutuma kikosi maalumu cha jeshi Congo DRC kupambana na wanamgambo wa ADF na ISIS waliopo mashariki.

Balozi wa Marekani Congo DRC amesema kwa sasa vita vya Congo vitafikia ukingoni.
Hatua hiyo ya Marekani unakuja wiki moja baada ya Kenya nayo kutuma jeshi lake Congo kwa madhumuni hayohayo.

Idadi ya Askari wa Marekani watakaotumwa huko bado ni siri.
 
Maneno ya kwenye khanga....

Afghanistan napo walisema wamewapa wanajeshi wa Afghanistan mafunzo ya uhakika na silaha ila tumeona sapraiz ya Taleban hadi Marekani wakakimbia na ndege zao mpaka wengine wakidondoka kwenye ndege kama maembe
 
Mkuu mtu chake Rais Kabila kwa Sasa yupo wapi? Hasikiki.
Ana ranchi yake ktk jimbo la Katanga lakini mara nyingi anapenda kuishi South Africa baada ya wapambe wake waliokuwa serikalini kudondoshwa na utawala wa Felix Tshisekedi.

Kabila is a spent force. He wrongly thought he could rebound back into active politics to reclaim the presidency come the 2023 general elections but that dream seems to be now shuttered.
 
Ana ranchi yake ktk jimbo la Katanga lakini mara nyingi anapenda kuishi South Africa baada ya wapambe wake waliokuwa serikalini kudondoshwa na utawala wa Felix Tshisekedi.

Kabila is a spent force. He wrongly thought he could rebound back into active politics to reclaim the presidency come the 2023 general elections but that dream seems to be now shuttered.
Nadhani anaweza kusuka mpango wa kumuua Felix
 
Nadhani anaweza kusuka mpango wa kumuua Felix
Anaweza lakini hakubaliki sana Congo DR kwani wanamuona kama mtu wa kuja zaidi hivyo anaweza kupata tabu sana kupata uungwaji mkono kutoka kwa walio wengi.

Tshisekedi tayari ameshajipanga sana na yeye ni mkasai kabila kubwa sana nchini Congo DR.
 
Maneno ya kwenye khanga....

Afghanistan napo walisema wamewapa wanajeshi wa Afghanistan mafunzo ya uhakika na silaha ila tumeona sapraiz ya Taleban hadi Marekani wakakimbia na ndege zao mpaka wengine wakidondoka kwenye ndege kama maembe
Kwa taarifa yako mission ya Marekani ilikamilika ndiyo maana wakawatoa special force yao baada ya Taaliban kutumika kama kama Toilet paper kusambaratisha USSR....Us ni world numba 01 World military power usipime
 
Back
Top Bottom