#COVID19 Marekani: Maelfu walaumu chanjo ya COVID-19 kwa kupoteza uwezo wa kusikia baada ya kuchanjwa

Hii nchi ina wajinga wengi sana! Yaani me ni Moja wa watu wa mwanzo kabisaa kupata chanjo hapa nchini. Hakuna tofauti yoyote niliyowahi kuihisi tangu nichanjwe. Bahati mbaya sana wajinga km huyu mleta mada nchini kwetu ndiyo wanaaminika.
 
Hii nchi ina wajinga wengi sana! Yaani me ni Moja wa watu wa mwanzo kabisaa kupata chanjo hapa nchini. Hakuna tofauti yoyote niliyowahi kuihisi tangu nichanjwe. Bahati mbaya sana wajinga km huyu mleta mada nchini kwetu ndiyo wanaaminika.
Tell them bro, taifa bado lina wapumbavu wa kutosha sana. Bahati mbaya elimu yetu inaondoa ujinga, haiondoi upumbavu
 
Hii inaweza kuwa madhara ya autoimmunity, endapo auto-antibodies zitakuwa directed kwenye tissue za sikio, let say kwenye eardrum lazima utarajie vitu kama hivyo kutokea. Madhara ya autoimmunity yalitokea mapema kabisa baada ya watu kuchanjwa kwa matatizo ya damu kuganda na kushuka kwa kiwango cha chembe sahani (platelets) kwenye mzunguko wa damu kulikotokana na kuharibiwa kwa njia ya autoimmunity na kupelekea tatizo linalojulikana kitaalamu kama autoimmune thrombocytopaenia. Sasa matatizo ya autoimmunity yanaweza kuendelea kutokea kadri ya muda unavyoenda na kadri unavyoendelea kupokea chanjo zaidi. Ilikuwa ni kosa kubwa sana ku establish usalama wa chanjo ndani ya kipindi cha mwaka mmoja wa majaribio kwa binadamu, ningewaelewa kama ingepita walau miaka 5 hadi 10 ili uweze kusema chanjo ni salama.​
 
Siongezi neno hapa!
 
B
Binafsi hata mm nilishasahau kama nilichanjwa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…