Marekani mbioni kuweka vikwazo vipya dhidi ya Urusi

Marekani mbioni kuweka vikwazo vipya dhidi ya Urusi

beth

JF-Expert Member
Joined
Aug 19, 2012
Posts
3,880
Reaction score
6,368
Imeripotiwa kuwa Serikali ya Marekani inatarajia kuweka vikwazo dhidi ya Urusi, hatua ambayo imetajwa kuwa majibu dhidi ya mashambulio ya kimtandao yaliyolenga Marekani ikiwemo madai ya kuingilia Uchaguzi wa Urais 2020.

Vikwazo hivyo vinavyotarajiwa kutangazwa hivi karibuni vinalenga zaidi ya Mashirika 30. Pia vinajumuisha kufukuzwa zaidi ya watu 10 huku Wanadiplomasia wakitajwa kuwa miongoni mwa walengwa.

=====

The US government is set to issue a wide range of sanctions against Russia, according to reports.

The move would be retaliation for cyber-attacks aimed at the US, including alleged interference in the 2020 presidential elections.

The sanctions, expected as soon as Thursday, target more than 30 Russian entities and include the expulsion of at least 10 individuals from the US.

Diplomats will reportedly be among those targeted.

The administration of US President Joe Biden is also expected to issue an executive order barring US financial institutions from purchasing ruble-denominated bonds from June, sources told BBC partner CBS News.

The sanctions would come at a tense time for US-Russia relations.

In a call with Russian President Vladimir Putin on Tuesday, Mr Biden said the US would "act firmly" in defence of its national interests.

Mr Biden also proposed a meeting with Mr Putin "in a third country" that could allow the leaders to find areas to work together.

In a televised interview last month, he replied "I do" when asked if he thought Mr Putin was a "killer." He said the days of the US "rolling over" to the Russian president were done.

SolarWinds hack

Last year, cyber-security researchers identified a hack in a piece of software called SolarWinds — an intrusion that gave cyber-criminals access to 18,000 government and private computer networks.

Intelligence officials believe Russia was behind the attack. The hackers gained access to digital files of several U.S. government agencies, including the Treasury, Justice and State Departments.

Microsoft president Brad Smith said in February the SolarWinds hack was "the largest and most sophisticated attack the world has ever seen".

In a report last month, US intelligence agencies concluded the Russian president likely directed online efforts to help Donald Trump win a second term as US president

The US has also publicly warned Russia against aggressive actions in Ukraine. Russia is reportedly beefing up its military presence on Ukraine's' eastern border.

"The hostility and unpredictability of America's actions force us in general to be prepared for the worst scenarios," Kremlin spokesman Dmitry Peskov told reporters last week, anticipating the new sanctions.
 
Naye alipize kwa kumuwekea vikwazo
... kwa hasira ataingiza yale mavifaru yake na wanajeshi sijui milioni moja mitaani kuonesha military superiority! Ha ha ha; hawa jamaa na Kiduku akili zao wanazijua wenyewe.
 
Marekani nao waache Uchoko maji kila kitu wao vikwazo tuuuu,.Kama mnayaweza ingieni vitani siyo kuchimba biti tuuuu mpaka tumechoka.
 
Sasa dunia itahakikishaje kama Marekani ameshambuliwa na Urusi, kwanini Marekani bado tu wanahangaika na Urusi wakati sio majirani zao na wamewaacha mbali sana kiuchumi na kijeshi.
 
Marekani nao waache Uchoko maji kila kitu wao vikwazo tuuuu,.Kama mnayaweza ingieni vitani siyo kuchimba biti tuuuu mpaka tumechoka.
Vita vimepitwa na wakati hizi sio zama zake hizi ni zama za Cyber technology na vikwazo.

Wewe inaonekana hujajua athari za vikwazo. Miaka hii mitano ya Magufuli wametushtua kidogo tu, ona nchi kilio kila kona.

Utawala wa makaburu walipowekewa vikwazo 1987 miaka mitatu tu baadaye wakamwachilia Mandela wakati walikuwa wameapa kuwa lazima atafia jela.

Ukiwekewa vikwazo kisha ujifanye kukomaa lazima uchumi wako usambaratike tu hauna namna, mifano ipo mingi na ndio maana Urusi kiuchumi wako hoi, wanazidiwa hata na South Korea.
 
Vita vimepitwa na wakati hizi sio zama zake hizi ni zama za Cyber technology na vikwazo.

Wewe inaonekana hujajua athari za vikwazo. Miaka hii mitano ya Magufuli wametushtua kidogo tu, ona nchi kilio kila kona.

Utawala wa makaburu walipowekewa vikwazo 1987 miaka mitatu tu baadaye wakamwachilia Mandela wakati walikuwa wameapa kuwa lazima atafia jela.

Ukiwekewa vikwazo kisha ujifanye kukomaa lazima uchumi wako usambaratike tu hauna namna, mifano ipo mingi na ndio maana Urusi kiuchumi wako hoi, wanazidiwa hata na South Korea.
Watu wengi hawaelewi athari za vikwazo wanasomaga tu mitandaoni! Lakini ile kitu ni mbaya sana haigusi raia moja kwa moja ila athari zake utaanza kuziona tu katika maisha ya kila siku unaanza kuisoma namba unahisi kabisa kuna sehemu kuna tatizo...

Haya mambo ya economic sanctions sio mazuri kabisa, mabeberu wana umuhimu wake wala hatuna uwezo wa kutunisha nao misuli..
 
Back
Top Bottom