Marekani na Urusi wanapigana vita ya nini wakati wanashirikiana kwenye mambo mengi tu?

Marekani na Urusi wanapigana vita ya nini wakati wanashirikiana kwenye mambo mengi tu?

ndege JOHN

JF-Expert Member
Joined
Aug 5, 2015
Posts
21,643
Reaction score
51,642
Ni wazi vita ya Russia na Ukraine ni vita ya Russia na marekani na ndo maana marekani anatoa misaada sana Ukraine nadhani ndo taifa la kwanza linaloongoza kupewa pesa nyingi ikifuatiwa na Israeli. Kwa Africa ni Nigeria ndo linaloongoza kupewa michango.

Nije kwenye point yangu. Kwanini marekani na urusi wana uhasama huo na vita baridi lakini Wana share mambo mengi pamoja. Urusi na marekani zinadumisha moja ya uhusiano muhimu zaidi, muhimu na wa kimkakati ulimwenguni.

Mataifa yote mawili yanashiriki maslahi katika usalama na usalama wa nyuklia, kupambana na ugaidi na kubwa zaidi ni uchunguzi wa anga.kwenye kufanya maintenance ya kituo cha anga huwa team inaundwa na urusi na marekani Yaani kweli kama wangekuwa na uhasama si lazima wangeogopa mmoja kumuhujumu mwenzake.

Screenshot_20240710-092511~2.png
 
Marekani ina mfumo wa kidemokrasia wa kibepari, wakati Urusi ina mfumo wa kidemokrasia wenye mwelekeo wa kiimla, Ushindani huu wa kiitikadi ndio chanzo kikubwa cha mgongano wa kimaslahi. Urusi inataka kudumisha na kuongeza ushawishi wake wa kijiopolitiki, wakati Marekani inapigania kudumisha nafasi yake kama nguvu kuu duniani, hali inayosababisha mgongano wa kimaslahi licha ya maeneo yao ya ushirikiano.
 
Ni wazi vita ya Russia na Ukraine ni vita ya Russia na marekani na ndo maana marekani anatoa misaada sana Ukraine nadhani ndo taifa la kwanza linaloongoza kupewa pesa nyingi ikifuatiwa na Israeli. Kwa Africa ni Nigeria ndo linaloongoza kupewa michango.

Nije kwenye point yangu. Kwanini marekani na urusi wana uhasama huo na vita baridi lakini Wana share mambo mengi pamoja. Urusi na marekani zinadumisha moja ya uhusiano muhimu zaidi, muhimu na wa kimkakati ulimwenguni.

Mataifa yote mawili yanashiriki maslahi katika usalama na usalama wa nyuklia, kupambana na ugaidi na kubwa zaidi ni uchunguzi wa anga.kwenye kufanya maintenance ya kituo cha anga huwa team inaundwa na urusi na marekani Yaani kweli kama wangekuwa na uhasama si lazima wangeogopa mmoja kumuhujumu mwenzake.

View attachment 3038182
American greed, na new World order.
 
Wafanana kwa asilimia kubwa ila tatizo ni mitizamo tu .
 
Back
Top Bottom