MK254
JF-Expert Member
- May 11, 2013
- 32,408
- 50,809
Mnaosema haya matamko ni propaganda za Wakenya mnajiliwaza tu, hili hapa lipo kwenye tovuti ya serikali ya Marekani tena toleo la tarehe ya jana. Kama nilivyoshauri kwenye uzi mwengine, itabidi huyo Bashite ashushwe ndio hawa wazungu watawaacha salama, mligusa nyeti zao ilhali mnategemea hela wanazowapa.
Hamkufaa kukurupuka hivyo, haya mambo hufanywa kwa kutumia akili, mnafaa kuwaminya mabwabwa kichini chini tena kimya kimya na sio kwa kiherehere cha kuropokwa eti mtawafuata mlango kwa mlango, nyumba kwa nyumba, yaani hapa mnamkana Bashite lakini wazungu hawajatosheka hadi waone kitu, lazima wazae na nyie kwa hili, mtajaribu kulaumu Kenya kama ilivyo kila mkikumbana na changamoto, lakini haitowasaidia.
------------------------------------------------------
Deterioration of Civil Liberties and Human Rights in Tanzania
Press Statement
Heather Nauert
Department Spokesperson
Washington, DC
November 9, 2018
The United States government is deeply concerned over escalating attacks and legislative actions by the Government of Tanzania that violate civil liberties and human rights, creating an atmosphere of violence, intimidation, and discrimination. We are troubled by the continued arrests and harassment of marginalized persons, including lesbian, gay, bisexual and transgender people, and others who seek to exercise their rights to freedom of speech, association and assembly. Legislation is being used to restrict civil liberties for all.
The deteriorating state of human rights and rule of law in Tanzania inhibits development, economic prosperity, peace, and security. We call on Tanzanian authorities to act decisively to safeguard the rights of civil society organizations, human rights defenders, journalists, health workers, political activists, and all people in accordance with the Tanzanian constitution, the African Charter on Human and People’s Rights, and the country’s international and regional obligations and commitments.
Deterioration of Civil Liberties and Human Rights in Tanzania
Hamkufaa kukurupuka hivyo, haya mambo hufanywa kwa kutumia akili, mnafaa kuwaminya mabwabwa kichini chini tena kimya kimya na sio kwa kiherehere cha kuropokwa eti mtawafuata mlango kwa mlango, nyumba kwa nyumba, yaani hapa mnamkana Bashite lakini wazungu hawajatosheka hadi waone kitu, lazima wazae na nyie kwa hili, mtajaribu kulaumu Kenya kama ilivyo kila mkikumbana na changamoto, lakini haitowasaidia.
------------------------------------------------------
Deterioration of Civil Liberties and Human Rights in Tanzania
Press Statement
Heather Nauert
Department Spokesperson
Washington, DC
November 9, 2018
The United States government is deeply concerned over escalating attacks and legislative actions by the Government of Tanzania that violate civil liberties and human rights, creating an atmosphere of violence, intimidation, and discrimination. We are troubled by the continued arrests and harassment of marginalized persons, including lesbian, gay, bisexual and transgender people, and others who seek to exercise their rights to freedom of speech, association and assembly. Legislation is being used to restrict civil liberties for all.
The deteriorating state of human rights and rule of law in Tanzania inhibits development, economic prosperity, peace, and security. We call on Tanzanian authorities to act decisively to safeguard the rights of civil society organizations, human rights defenders, journalists, health workers, political activists, and all people in accordance with the Tanzanian constitution, the African Charter on Human and People’s Rights, and the country’s international and regional obligations and commitments.
Deterioration of Civil Liberties and Human Rights in Tanzania