Marekani naye ameibuka na tamko dhidi ya Tanzania

Marekani naye ameibuka na tamko dhidi ya Tanzania

Status
Not open for further replies.

MK254

JF-Expert Member
Joined
May 11, 2013
Posts
32,408
Reaction score
50,809
Mnaosema haya matamko ni propaganda za Wakenya mnajiliwaza tu, hili hapa lipo kwenye tovuti ya serikali ya Marekani tena toleo la tarehe ya jana. Kama nilivyoshauri kwenye uzi mwengine, itabidi huyo Bashite ashushwe ndio hawa wazungu watawaacha salama, mligusa nyeti zao ilhali mnategemea hela wanazowapa.
Hamkufaa kukurupuka hivyo, haya mambo hufanywa kwa kutumia akili, mnafaa kuwaminya mabwabwa kichini chini tena kimya kimya na sio kwa kiherehere cha kuropokwa eti mtawafuata mlango kwa mlango, nyumba kwa nyumba, yaani hapa mnamkana Bashite lakini wazungu hawajatosheka hadi waone kitu, lazima wazae na nyie kwa hili, mtajaribu kulaumu Kenya kama ilivyo kila mkikumbana na changamoto, lakini haitowasaidia.
------------------------------------------------------
Deterioration of Civil Liberties and Human Rights in Tanzania
Press Statement
Heather Nauert
Department Spokesperson
Washington, DC
November 9, 2018



The United States government is deeply concerned over escalating attacks and legislative actions by the Government of Tanzania that violate civil liberties and human rights, creating an atmosphere of violence, intimidation, and discrimination. We are troubled by the continued arrests and harassment of marginalized persons, including lesbian, gay, bisexual and transgender people, and others who seek to exercise their rights to freedom of speech, association and assembly. Legislation is being used to restrict civil liberties for all.
The deteriorating state of human rights and rule of law in Tanzania inhibits development, economic prosperity, peace, and security. We call on Tanzanian authorities to act decisively to safeguard the rights of civil society organizations, human rights defenders, journalists, health workers, political activists, and all people in accordance with the Tanzanian constitution, the African Charter on Human and People’s Rights, and the country’s international and regional obligations and commitments.
Deterioration of Civil Liberties and Human Rights in Tanzania
 
Habari za america kupeana statements ni kawaida sana..Nakumbuka mwaka Jana walijaza hizo takataka wakilenga kenya sababu ya post election violence, kufungwa kwa media n.k.t
Hii ni kitu cha kawaida sana, hamna jambo hapo hata wakitoa travel advisory kenya tumeishi kuwa nazo miaka karibu 5.
JIWE kaa imara, wacha waandike hadi wachoke
Ikumbukwe kwamba Trump chama chake cha conservatives (GOP) hu wadhulumu Gays lesbians and minorities. Tena trump mwenyewe ndie numba moja kupigana na free press.
Hii ni takataka sponsored by zitto kabwe na wajinga wenzake
 
Kinachoskitisha bado hatuoni kama hii nchi inapoelekea sio kuzuri.

Kuelekea kuzuri au kusiko kuzuri ni mtazamo tu. kama na wewe ni miongoni wa wale ambao wameona wanawake hawafai (hata wenyewe hawangeaswa kuzaliwa maana kumwagia shahawa mwanamme mwenzako mkvndun! ni jambo ambalo mimi binafsi sipati tafsiri yake hata kidogo, maana hata kuita tendo hilo ni kujamiiana bado naona hali qualification, maana kujamiiana kuwe na uwezekano wa kuleta jamaa au uzao) basi lazima utaona tunaelekea shimoni.
 
Kuelekea kuzuri au kusiko kuzuri ni mtazamo tu. kama na wewe ni miongoni wa wale ambao wameona wanawake hawafai (hata wenyewe hawangeaswa kuzaliwa maana kumwagia shahawa mwanamme mwenzako mkvndun! ni jambo ambalo mimi binafsi sipati tafsiri yake hata kidogo, maana hata kuita tendo hilo ni kujamiiana bado naona hali qualification, maana kujamiiana kuwe na uwezekano wa kuleta jamaa au uzao) basi lazima utaona tunaelekea shimoni.
Kama la kwanza ni mtazamo kwanini ushoga usiwe mtazamo nao?
 
Wakenya waoga sana, ndio maana mambo yakiwa magumu mnakimbia badala kuyatatua. Sasa hili tamko ni la kiliogopa, hata hao wamarekani wanajuwa kuna sheria za nchi zinazotakiwa kufuatwa
 
Wakenya waoga sana, ndio maana mambo yakiwa magumu mnakimbia badala kuyatatua. Sasa hili tamko ni la kiliogopa, hata hao wamarekani wanajuwa kuna sheria za nchi zinazotakiwa kufuatwa
Kila mtu anajua kuwa ushoga Tanzania hauruhusiwi ila jamaa alitaka kutafuta kiki na haya ndio matokeo take
Alitafuta kiki ktk madawa akalichafua Taifa hadi Leo kuna baadhi ya nchi ukienda wakikujua kuwa unatoka Tanzania unatengwa na kufanyiwa special inspection wakati kuna nchi wanauza unga sisi hata robo hatuwafikii ila wanapigana kimya kimya
Pia jama hajui kutofautisha mambo yapi anatakiwa ayafanye kama mkuu wa mkoa na yapi ni ya kitaifa yanatakiwa yafanywe na waziri yeye huwa anakurupuka tu labda kutokana na elimu take
Maana Mimi sijaelewa ushoga unapigwa vita dar tu au nchi nzima maana tamko la ke linatakiwa lishie dar tu
 
Kila mtu anajua kuwa ushoga Tanzania hauruhusiwi ila jamaa alitaka kutafuta kiki na haya ndio matokeo take
Alitafuta kiki ktk madawa akalichafua Taifa hadi Leo kuna baadhi ya nchi ukienda wakikujua kuwa unatoka Tanzania unatengwa na kufanyiwa special inspection wakati kuna nchi wanauza unga sisi hata robo hatuwafikii ila wanapigana kimya kimya
Pia jama hajui kutofautisha mambo yapi anatakiwa ayafanye kama mkuu wa mkoa na yapi ni ya kitaifa yanatakiwa yafanywe na waziri yeye huwa anakurupuka tu labda kutokana na elimu take
Maana Mimi sijaelewa ushoga unapigwa vita dar tu au nchi nzima maana tamko la ke linatakiwa lishie dar tu
Na ndio maana serikali kuu, ikatoa tamko alichoamua huyo jamaa ni mawazo yake mwenye binafsi sio msimamo wa nchi. Inajulikama wazi, ukijishulisha na mambo ya kishoga na ukakamtwa na ushahidi kama hao walio jianika, utachukuliwa hatua za kisheria. Lakini serikali haiwezi kufuata watu majumbani na kuanza kuwapekenyua bila kuwa na ushahidi wowote au hata kupokea taarifa kutoka kwa jamii. Kufanya hivyo ni kuvunja haki za kibinadamu ambazo serikali imeweka sahini kwenye vyombo ya kimataifa.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom