Marekani naye ameibuka na tamko dhidi ya Tanzania

Status
Not open for further replies.
Off topic, anyones age inakuhusu nini? umeulizwa swali unatafuta mlango wa kutoke. Honestly speaking, Wakenya wa hapa JF mnaitia abibu nchi yenu.
You don't even realize I responded to you that way because you were going off topic and never responding to my post. Reason why I said you reason like a 5 year old.
 
Taifa bora linakuwa reality under magufuli, this nonsense you're talking about, is bullshit
 
You're old, yet soo dumb.
Unadhani marekani anawalisha na kuwapa misaada burebure.
They have no permanent friends, only after interests.
Sisi tutapayuka, na hakuna kima wA kutupangia namna ya kudeal na nyie mashoga.
 
You don't even realize I responded to you that way because you were going off topic and never responding to my post. Reason why I said you reason like a 5 year old.
You must be having a really boring Sunday wengin tuko kazini, unatupotzea muda na haya childish games. Umekuja na generalise comment kusema nchi nzima inaomba msamaa, msamaa upi wakati sheria zote ziko na zinafanya kazi? Nimekuuliza kama Sonko akitoa kauli ni nchi zima inakuwa imetoa kauli? I didn't get an answer to that. So only bored person ndio atakuwa na muda wa kuruka ruka na comments kama hizi. Unless if your trying to gain something with this wastage of time which in know for a fact you won't.
 
Dude, when the government representative says something, we consider that the stand of the nation. When a Tanzanian government representative says Kenyan chicks should be burned, we say Tanzania burned Kenyan chicks. Do I have to educate you through elementary understanding of everything before we engage? When I said you reason like a 5 year old, I was dead serious. No wonder we are talking about Tanzania going so hard on homosexuality then chickening out after the West raises concerns and you're here talking about Richard Quest this Richard Quest that.
 
You're old, yet soo dumb.
Unadhani marekani anawalisha na kuwapa misaada burebure.
They have no permanent friends, only after interests.
Sisi tutapayuka, na hakuna kima wA kutupangia namna ya kudeal na nyie mashoga.

Aliyesema anawapa bure nani, tena anawafyonza zaidi ya anachowapa, na ndio unaona migodini mpo na mahandaki matupu na umaskini, ila ninachosema ni kwamba mwisho wa siku mnawazungushia vibakuli, kisha mnawapayukia, wakitembeza kibano mnawalilia maana hadi sasa mawaziri wenu kadhaa washajitokeza kumkana Makonda ila mzungu bado hajaridhika.
 
Taja handaki moja lilobaki, sisi tushanyonywa but we're smarter, under magu no table will left unturn, sisi si wajinga kama nyinyi mnanyonywa hadi na wachina na sgr lenu. Yani sgr yenu ni kithibitisho tosha cha unyonyaji mkubwa na wa hali ya juu Africa, shughulikia unyonyaji mnaofanyiwa nyinyi, you think i dont know kenya hakuna migodi inayovunwa na hao wazungu. Will just ignore you since you're a jubilee propagandist. Kikulacho ki nguoni mwako buda, pambaneni na hali yenu worse than us.
 

Kati yetu na nyie ni rahisi kujua anayenyonywa akanyonyeka, maana nyie pamoja na raslimali nyingi kuzidi nchi zote za Afrika, lakini mpo maskini wa kutupwa hadi mnashia kushindwa na viinchi vidogo na kame kama Kenya.
 

kwa hiyo walivyo muua Gadaff na Saddam walikuwa wanaimarisha demokrasia?
 
OK, hii post ndio imemipa picha kamili kama unapata shida kuelewa jurisdiction of local gov and central gov. Ni wewe tu ndio unashidwa kuelewa kama hii issue ya mashoga Tanzania ilianziswa na mtu wa local government na sio central gov. Pitia international media zote uone wanasema Dar Governor or Dar Chief etc ndio ameanzisha mlango wa mashoga. Wao wanajuwa kutofautisha between two governments. Ndio maana hata mfano wa Sonko unakushida kuelewa, central gov can't take the blame for dicisionn made by local gov outside the rules.
 
I like the way you're now distancing yourself from him yet the other day you were applauding him and boasting of how Tanzania never bootlicks white people courtesy of him. This is exactly what I've been talking about. Mnajitia ubabe ilhali ninyi no hohehahe.
 
Tukumbuke what happened in Uganda kama miaka miwili hivi nyuma kama sijakosea,mswaada ulienda bungeni na ukapita ila KAGUTA alibadili mambo alivyoiona presha ya wakubwa!!. Lakini ndugu zangu mi najiuliza hivi hawa wenzetu wana maisha gani?!? Au ni Sodoma na Gomorah Perce,maana wamechachamaa sana hapa mpaka UN?!!?!
 
I'm not his fun if that what your implying, I haven't wrote anything in his support.

There so many moments were Kenya has presented itself as bootlicker, most recently one was during American lead UN vote against Israel.
Kenya invited to US party for absence on UN's Jerusalem vote
Halafu huku mnasema nyinyi ni wababe, there reasons why ANC government doesn't get along with Kenya.
 
Wanaojifanya mababe ni nyinyi. Si kila siku mnatubeza eti we are a white man's bootlickers? In the recent past Tanzanians have been celebrating here how you deal with white people alafu mzungu akishakohoa nyie ndio wa kwanza kuruka mtu wenu.
 
una marinda lkn???tungependa mada ianzishwe na mwanaume kamili mwenye marinda asiye muogamuoga
 

Hawa wazungu wamempigisha magoti Kim wa Korea Kaskazini pamoja na kwamba anavyo viwanda vyake, japo yeye nafuu anayo uwezo wa kuwatunishia misuli kwa muda mrefu, kikubwa akiacha uchizi wa nyuklia watakosa pa kumtaftia ugomvi, lakini nyeusi ambazo zinaanza viwanda vya vyerehani viine, mzungu atakua kila akikohoa au kujamba unaita wanahabari na kuitika 'ndio mkuu'.

Makonda amepayuka tu na kuisababishia nchi yote kilio, ila japo inafahamika ukiwa mkuu wa mkoa wa Dar ni kama rais pili wa nchi, maana nguvu iliyotumika ya mawaziri kujitokeza na kumkana Makonda na kujitetea ni wazi kama taifa mumeguswa pahali na wazungu, watakua wamepiga simu kimya kimya, na bado kibano kipo hadi waridhike kwamba mabwabwa yao hayanyoshewi kidole tena.
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…