Marekani: Polisi inamshikilia mtu mmoja anayedaiwa kusababisha moto mkali uliochoma nyumba zaidi ya 10,000 na kuua watu 10

Marekani: Polisi inamshikilia mtu mmoja anayedaiwa kusababisha moto mkali uliochoma nyumba zaidi ya 10,000 na kuua watu 10

Mkalukungone mwamba

JF-Expert Member
Joined
Aug 29, 2022
Posts
862
Reaction score
1,755
Ila hapa duniani kuna watu na viatu kwa kweli!

Sasa mtu anatumwa na halmashauri yake ya kichwa anaenda kuwasha moto duh hii ni balaa tupu. Pole zao wote walipata janga hili kubwa.
=====================

Idara ya Polisi ya Los Angeles (LAPD) imesema inamshikilia mtu mmoja anayedaiwa kusababisha moto mkali uliochoma nyumba zaidi ya 10,000 na kuua watu 10 nchini Marekani.

Moto huo ulioanza usiku wa kuamkia Januari 9, 2025 umeteketeza nyumba za kifahari za mbele ya bahari.

Ofisa mkuu wa LAPD, Charles Dinsel ameuambia mtandao wa NewsNation jana Januari 9, kwamba mshukiwa mmoja yuko chini ya ulinzi, akihisiwa kusababisha moto huo kwa makusudi.

Soma Pia: Marekani: Moto Mkali Wateketeza Ekari 3,000 na Kuwafurusha Maelfu ya Watu Los Angeles

"Baada ya dakika 20 hadi 30, mshukiwa alikamatwa katika eneo la Woodland Hills na wananchi. Hili linachunguzwa kama uhalifu," amesema Dinsel.

Ofisa huyo alipotakiwa kueleza moja kwa moja kama moto huo uliwashwa kwa makusudi, "Kwa sasa, tunaamini hivyo. Ndiyo."
 
Ila hapa duniani kuna watu na viatu kwa kweli!

Sasa mtu anatumwa na halmashauri yake ya kichwa anaenda kuwasha moto duh hii ni balaa tupu. Pole zao wote walipata janga hili kubwa.
=====================

Idara ya Polisi ya Los Angeles (LAPD) imesema inamshikilia mtu mmoja anayedaiwa kusababisha moto mkali uliochoma nyumba zaidi ya 10,000 na kuua watu 10 nchini Marekani.

Moto huo ulioanza usiku wa kuamkia Januari 9, 2025 umeteketeza nyumba za kifahari za mbele ya bahari.

Ofisa mkuu wa LAPD, Charles Dinsel ameuambia mtandao wa NewsNation jana Januari 9, kwamba mshukiwa mmoja yuko chini ya ulinzi, akihisiwa kusababisha moto huo kwa makusudi.

Soma Pia: Marekani: Moto Mkali Wateketeza Ekari 3,000 na Kuwafurusha Maelfu ya Watu Los Angeles

"Baada ya dakika 20 hadi 30, mshukiwa alikamatwa katika eneo la Woodland Hills na wananchi. Hili linachunguzwa kama uhalifu," amesema Dinsel.

Ofisa huyo alipotakiwa kueleza moja kwa moja kama moto huo uliwashwa kwa makusudi, "Kwa sasa, tunaamini hivyo. Ndiyo."
Wanamsingizia tu
 
Huo moto unafikirisha sana inawezekanaje uunguze nyumba zote hizo hata huku kijijini kwetu Mpitimbi si raisi nyumba zaidi ya elfu 10 kuuungua kwa moto ili hali toka nyumba moja hadi nyingine kuna nafasi kiasi kwamba moto hauwezi ruka nakumbuka hata shamba ukiona kwa jirani kuna moto ili isifike shambani kwako unalima barabara na moto hauvuki au ukitaka vuka unakuwa hauna makali na ni rahisi kuudhibiti
 
Ila hapa duniani kuna watu na viatu kwa kweli!

Sasa mtu anatumwa na halmashauri yake ya kichwa anaenda kuwasha moto duh hii ni balaa tupu. Pole zao wote walipata janga hili kubwa.
=====================

Idara ya Polisi ya Los Angeles (LAPD) imesema inamshikilia mtu mmoja anayedaiwa kusababisha moto mkali uliochoma nyumba zaidi ya 10,000 na kuua watu 10 nchini Marekani.

Moto huo ulioanza usiku wa kuamkia Januari 9, 2025 umeteketeza nyumba za kifahari za mbele ya bahari.

Ofisa mkuu wa LAPD, Charles Dinsel ameuambia mtandao wa NewsNation jana Januari 9, kwamba mshukiwa mmoja yuko chini ya ulinzi, akihisiwa kusababisha moto huo kwa makusudi.

Soma Pia: Marekani: Moto Mkali Wateketeza Ekari 3,000 na Kuwafurusha Maelfu ya Watu Los Angeles

"Baada ya dakika 20 hadi 30, mshukiwa alikamatwa katika eneo la Woodland Hills na wananchi. Hili linachunguzwa kama uhalifu," amesema Dinsel.

Ofisa huyo alipotakiwa kueleza moja kwa moja kama moto huo uliwashwa kwa makusudi, "Kwa sasa, tunaamini hivyo. Ndiyo."
What are you crying for? wacha wale adabu
 
Huo moto unafikirisha sana inawezekanaje uunguze nyumba zote hizo hata huku kijijini kwetu Mpitimbi si raisi nyumba zaidi ya elfu 10 kuuungua kwa moto ili hali toka nyumba moja hadi nyingine kuna nafasi kiasi kwamba moto hauwezi ruka nakumbuka hata shamba ukiona kwa jirani kuna moto ili isifike shambani kwako unalima barabara na moto hauvuki au ukitaka vuka unakuwa hauna makali na ni rahisi kuudhibiti
Wanadai eti usa imeitosa israel ndo mungu wao akaiadhibu usa . Ulokole ni laana
 
Yule katibu mwenezi wa CCM,Makalla hapa karibuni hakuwa huko kweli?

Maana ndio kazi zake...uliza mikoa aliyopita.
 
Nyumba zao za mbao tele na karatasi za gundi. Nadhani wanatumia siment kidogo sana
Hayo sasa ni mabanda! Ni sahihi kabisa moto ulivyochoma zaidi ya nyumba elfu 10 ndani ya siku tatu.
 
Ila hapa duniani kuna watu na viatu kwa kweli!

Sasa mtu anatumwa na halmashauri yake ya kichwa anaenda kuwasha moto duh hii ni balaa tupu. Pole zao wote walipata janga hili kubwa.
=====================

Idara ya Polisi ya Los Angeles (LAPD) imesema inamshikilia mtu mmoja anayedaiwa kusababisha moto mkali uliochoma nyumba zaidi ya 10,000 na kuua watu 10 nchini Marekani.

Moto huo ulioanza usiku wa kuamkia Januari 9, 2025 umeteketeza nyumba za kifahari za mbele ya bahari.

Ofisa mkuu wa LAPD, Charles Dinsel ameuambia mtandao wa NewsNation jana Januari 9, kwamba mshukiwa mmoja yuko chini ya ulinzi, akihisiwa kusababisha moto huo kwa makusudi.

Soma Pia: Marekani: Moto Mkali Wateketeza Ekari 3,000 na Kuwafurusha Maelfu ya Watu Los Angeles

"Baada ya dakika 20 hadi 30, mshukiwa alikamatwa katika eneo la Woodland Hills na wananchi. Hili linachunguzwa kama uhalifu," amesema Dinsel.

Ofisa huyo alipotakiwa kueleza moja kwa moja kama moto huo uliwashwa kwa makusudi, "Kwa sasa, tunaamini hivyo. Ndiyo."
Huyo mnamuona ni mtu lakini si mtu halisi
 
Back
Top Bottom