Marekani, Sweden,Denmark,Uholanzi kusitisha misaada kwa Uganda

Marekani, Sweden,Denmark,Uholanzi kusitisha misaada kwa Uganda

Money Stunna

JF-Expert Member
Joined
Aug 9, 2011
Posts
13,053
Reaction score
6,304
Kutokana na Uganda kutunga sheria kali zidi ya mashoga. Marekani, Uholanzi, Sweden, Denmark zimesema ziko kwenye mkatakati wa kusitisha misaada kwa Uganda.

Wakati huo huo rais Museveni amesema Uganda ni tajiri kwa maliasili haitaji misaada hiyo ya masharti kuruhusu ushoga.

Amesema atashirikiana na nchi zisizoingilia mambo ya ndani ya nchi kama Russia
 
Back
Top Bottom