Kwamba Mungu kaumba taifa lenye kuuwa watu kwa kutumia atomic bomu, kwamba Mungu kaumba taifa ambalo lina damu za innocent people wengi duniani?? Kwamba Mungu kaumba taifa amablo linatetea ushoga, Mungu gani huyo?? Acheni kutetea upuuzi muda mwengineHii ni mbinu za kumchosha adui...
Kwa mtazamo wangu mdogo naona hili taifa la USA ni mipango ya MUNGU mwenyewe ili dunia iwe na Amani,hawa jamaa sijaona taifa lolote duniani ambalo linaweza kuwa juu Yao wala haitatokea hata kama tutawachukia au kuwakubali bado wataendelea kuwa juu tu
NonsensePutin hana tofaut na sadamu ,kuna kipind sadamu alisema atiangamiza dunia kama wakiendelea kumchokonoa,mwishowe yaliyomkuta?
Ushoga ndio unaona dhambi tuu,unavyozin na mademu ,huon dhambi,umewatia watoto wa watu mimba wakazitoa huon dhambi,ila ushoga ndio unaona dhambi ,unakoishi kwenyewe mashoga wamejaa,Fanya kampen basi tujue wewe mwanaharakati jasirKwamba Mungu kaumba taifa lenye kuuwa watu kwa kutumia atomic bomu, kwamba Mungu kaumba taifa ambalo lina damu za innocent people wengi duniani?? Kwamba Mungu kaumba taifa amablo linatetea ushoga, Mungu gani huyo?? Acheni kutetea upuuzi muda mwengine
yoooote hiyo kwaajili ya kuuwa binaadam tu siyo wanyamaItakumbukwa kwamba Putin alisema hii ni silaha ambayo haipo katika taifa lolote isipokuwa Russia, nadhan sasa yametimia
Al Jazeera English
The United States Air Force says it has conducted a successful test of a hypersonic weapon, which flew at five times the speed of sound.
The test was conducted on Saturday off the coast of Southern California when a B-52 bomber released an Air-launched Rapid Response Weapon (ARRW), the Air Force said in a statement on Monday.
View attachment 2228170
Acha uongo wewe bangi ,hakuna silaha yoyote inazid spid ya mwanga ,hi mi pro.Russia ya manzese bwana ukishabwia madude ndio unatupia comment na smart phone za wiziKumbe ndo wanatesti alafu ya urusi inaenda mara 5 mpaka 25 ya mwanga
Nilimaanisha speed za hypersonic za kirusi zinasafiri mara 5 Mpaka 25 zaidi ya speed ya sound.alafu wewe ndo mjinga Kwa sababu watu wanahangaika sasa hivi kutengeneza silaha za Aina hizo kama wew huna akili wengine wanazo na wanaumiza akili zao kutengeneza hizo hasahasa Warusi.Acha uongo wewe bangi ,hakuna silaha yoyote inazid spid ya mwanga ,hi mi pro.Russia ya manzese bwana ukishabwia madude ndio unatupia comment na smart phone za wizi
Una matatizo wewe nikuache tuuNilimaanisha speed za hypersonic za kirusi zinasafiri mara 5 Mpaka 25 zaidi ya speed ya sound.alafu wewe ndo mjinga Kwa sababu watu wanahangaika sasa hivi kutengeneza silaha za Aina hizo kama wew huna akili wengine wanazo na wanaumiza akili zao kutengeneza hizo hasahasa Warusi.
Halafu anavyoongea utadhani hao anaowashabikia hakuna mashoga. Russia imeruhusu ushoga hadi age 14 wanaweza kupakuana kama kawaida.Ushoga ndio unaona dhambi tuu,unavyozin na mademu ,huon dhambi,umewatia watoto wa watu mimba wakazitoa huon dhambi,ila ushoga ndio unaona dhambi ,unakoishi kwenyewe mashoga wamejaa,Fanya kampen basi tujue wewe mwanaharakati jasir
Yaani bwashee hawa pro. Russia ni bangi kama alivyo Putin, hawajui wanasimamia nini,Halafu anavyoongea utadhani hao anaowashabikia hakuna mashoga. Russia imeruhusu ushoga hadi age 14 wanaweza kupakuana kama kawaida.
Kaangalie laser weaponsUna matatizo wewe nikuache tuu
Mpango wa Mungu yupi taifa linasapoti mashoga!!Hii ni mbinu za kumchosha adui...
Kwa mtazamo wangu mdogo naona hili taifa la USA ni mipango ya MUNGU mwenyewe ili dunia iwe na Amani,hawa jamaa sijaona taifa lolote duniani ambalo linaweza kuwa juu Yao wala haitatokea hata kama tutawachukia au kuwakubali bado wataendelea kuwa juu tu
KabisaHii ni mbinu za kumchosha adui...
Kwa mtazamo wangu mdogo naona hili taifa la USA ni mipango ya MUNGU mwenyewe ili dunia iwe na Amani,hawa jamaa sijaona taifa lolote duniani ambalo linaweza kuwa juu Yao wala haitatokea hata kama tutawachukia au kuwakubali bado wataendelea kuwa juu tu
Usa ndio dola lenye nguvu kuliko yote duniani na biblia ilishatabiri nenda kasoHii ni mbinu za kumchosha adui...
Kwa mtazamo wangu mdogo naona hili taifa la USA ni mipango ya MUNGU mwenyewe ili dunia iwe na Amani,hawa jamaa sijaona taifa lolote duniani ambalo linaweza kuwa juu Yao wala haitatokea hata kama tutawachukia au kuwakubali bado wataendelea kuwa juu tu