Kamgomoli
JF-Expert Member
- May 3, 2018
- 1,896
- 4,058
Wengi hudhani taifa kubwa km Marekani halitegemei maji ya mvua kwa ajili ya kilimo. Ukweli ni kwamba hata wao wanategemea mvua kwa kiasi kikubwa.
Mwaka huu inaonyesha kutokana na ukame mkali unaoendelea uzalishaji wa mahindi utaathirika kwa 34% na Soya kwa 28%.
Chanzo: Chapisho la Agweb tarehe 3 June 2023.
Mwaka huu inaonyesha kutokana na ukame mkali unaoendelea uzalishaji wa mahindi utaathirika kwa 34% na Soya kwa 28%.
Chanzo: Chapisho la Agweb tarehe 3 June 2023.