Na mazao mengi pia wanamtegemea Mrusi na Ukaraine
Dunia kusaidiana hivyo na sisi tungelima sana ila tusaidia kukuza uchumi wetu
Tujitahidi kulima sana maana wenzetu yamewakuta haswa, na hii vita imeathiri watu wengi sana duniani waliokuwa wanategemea mazao kutoka Russia na Ukraine
America hawezi kufanya lolote kwenye hii global crisis na ukame wao wa mvua