Marekani yaiomba msaada Tanzania kuchunguza mauaji ya watu 50

Replica

JF-Expert Member
Joined
Aug 28, 2017
Posts
1,681
Reaction score
8,887
Habari zilizoifikia Radio Mbao hapa mjini, baada ya wananchi wa Marekani kushinikiza uchunguzi huru kutoka nje, Serikali ya nchi hio imeridhia ombi hilo na kuiomba Tanzania kuisaidia kubaini ilikuwaje mtuhumiwa kumiliki silaha nyingi bila kibali ilhali mamlaka zipo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…