Marekani yaionya Tz baada ya kutest Kombora la masafa marefu

Noma sana[emoji38] [emoji38] [emoji38]
 
tusubiri vikwazo vya kiuchumi sasa😀
 
Kombora lenyewe hilo hata kwenye radar ya marekani halikuonekana. ANTI-RADAR MISSILE
 
Nilikuwa nimenuna lakini nasema; Thanks, yu have made ma day.
 
Aisee watu wameichoka sana nchi yao.
 
Hilo kombora naomba Mungu li miss target na kuangukia pale karibu na soko la samaki daaslam! Litue moja kwa moja juu ya JIWE Walahi!! ISIS
 
Target ni huyo mvutaji akimisi tu wa mbele lazima tuseme r.i.p
 
Hilo kombora naomba Mungu li miss target na kuangukia pale karibu na soko la samaki daaslam! Litue moja kwa moja juu ya JIWE Walahi!! ISIS
Ushindwe walahi, litaangukia nyumbani mwako na familia yako milele yote walahi tena kombora la majipu walahi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…