Marekani yajitoa rasmi Shirika la Afya Duniani WHO

The Assassin

JF-Expert Member
Joined
Oct 30, 2018
Posts
4,942
Reaction score
20,077


Rais wa Marekani Bwana Donald Trump leo ametangaza nchi yake kujitoa rasmi shirika la afya Duniani.

Marekani huchangia 15% ya bajeti ya WHO na ndie mchangiaji mkubwa anayetegemewa.

Je, WHO itaweza kuishi bila mchango wa USA?

Je, ni wakati nchi zetu masikini kuanza kuchangia WHO?

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…