The Assassin
JF-Expert Member
- Oct 30, 2018
- 4,942
- 20,077
Trump is there to stay.Uzuri ni kwamba akipigwa chini kwenye uchaguzi Mkuu Mwezi November, Rais ajaye anakuja na yake; anairudisha US kilingeni.
Hakuna ramli hapo, kwenye uchaguzi lolote linaweza kutokea.Trump is there to stay.
Wapiga ramli mtapiga sana ila mshikaji yuko pale hadi 2024.
Wa kumtoa nani? Sleepy Joe Biden au?Uzuri ni kwamba akipigwa chini kwenye uchaguzi Mkuu Mwezi November, Rais ajaye anakuja na yake; anairudisha US kilingeni.
Tanzania will take over her position. Nchi yetu kipindi hiki ina hela chafu haijawahi tokea tangu kuanzishwa kwa taifa. his not Her
Unajidanganya nibsawa na mwanamke umeshapewa talaka hakafu unajidanganya eti utanikumbukaKwaheri USA mmeitesa sana dunia
Hakuna ramli hapo, kwenye uchaguzi lolote linaweza kutokea.
Kama fisiemu ilivyopewa talaka na wananchi halafu inatumia nguvu kulazimisha penziUnajidanganya nibsawa na mwanamke umeshapewa talaka hakafu unajidanganya eti utanikumbuka