Marekani yamshtaki Kiongozi wa Hamas, Yahya Sinwar

Jewish people ndo wanahonga huku na kule
 
Marekani ni member wa ICC?

Marekan anafunguaga kesi kwenye mahakama zakw za ndan.. US wao kwao wanaheshimu mahakam zao tu
kuliko mahamaka zozote dunian.. iraq sadam alifunguliwa kesi na marekani mahakama za kimataifa na pia wakapeleka azimio la kuivamia kijesh iraq baraza la usalama UN .. UN wakachomoa
USA akapelekeka azimio kwenye seneta yake ikapitishwa akaingiza wanajeshi iraq cha ajabu wanachama wa UN waliopinga wakaka kimya wengine wakatoa ardhi za nchi zao kama Proxy marekan azitumie and the rest is history, the same goes to Ghadafi.. juatice department ya US walimshtak Ghadafi kwenye seneta yao kuwa anaua raia wake seneta ikasema kamchomoen .. few month later Ghadafi is no
More

Marekan akitaka kukuvamia anakushtak kwenye mahakama
Zake au baraza lake la seneta hao wakisema upigwe hata UN wazikiri Utupu hawa washenz watakuchapa.. hapo nachokiona marekan anatafuta uhalal wa israel kukalia Kinguvu palestina au kuweka pupet govt
 
For sure namuomba Mungu hii vita iishe tu. Kama kipondo hawa jamaa wamekipata ila watoto wameteseka vya kutosha,
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…