Marekani yarudisha mapigo baada ya meli yake kushambuliwa

Marekani yarudisha mapigo baada ya meli yake kushambuliwa

Webabu

JF-Expert Member
Joined
Apr 29, 2010
Posts
8,870
Reaction score
14,258
Vita kati ya Marekani akishirikiana na Israel na Uiengereza dhidi ya Houth bado vinaendelea ambapo hapo jana Marekani ilishambulia maeneo ya Yemen yaliyokaribu na mji mkuu wa Sanaa.
Shambulia hilo la Marekani maeneo ya Al-Azraqeen kama ilivyothibitishwa na televisheni ya Houth ya ALmasira ni baada ya meli ya Marekni ya kivita kurushiwa makombora bila hofu wala kuionea haya.Meli iliyoshambuliwa ni ile inayobeba ndege za kivita ambayo inakuwa ndio kiongozi wa meli ndogo ndogo zinazoamatana nazo.
Ikumbukwe vita kati ya Houth na washirika wa Marekani ambao sasa wamebaki watatu vimeanza takriban mwaka mmoja na zaidi tangu pale Israel ilipoivamia Gaza.
 
Vita kati ya Marekani akishirikiana na Israel na Uiengereza dhidi ya Houth bado vinaendelea ambapo hapo jana Marekani ilishambulia maeneo ya Yemen yaliyokaribu na mji mkuu wa Sanaa.
Shambulia hilo la Marekani maeneo ya Al-Azraqeen kama ilivyothibitishwa na televisheni ya Houth ya ALmasira ni baada ya meli ya Marekni ya kivita kurushiwa makombora bila hofu wala kuionea haya.Meli iliyoshambuliwa ni ile inayobeba ndege za kivita ambayo inakuwa ndio kiongozi wa meli ndogo ndogo zinazoamatana nazo.
Ikumbukwe vita kati ya Houth na washirika wa Marekani ambao sasa wamebaki watatu vimeanza takriban mwaka mmoja na zaidi tangu pale Israel ilipoivamia Gaza.
Kumaliza vita duniani ni kufanya kama Marekani alivyofanya Hiroshima Japan atomic bombings 1945 Mpaka dunia inatetemeka. Lakini ukipiga unadonoa donoa wahuni houth watakuchezea. Hata kwenye boxing, knock out ndiyo mwisho wa mambo yote.
 
Tatizo marekani imefaamika sasa kiwa inatumia technology ya kizamani ktk system zake nyingi ndio mana Muiran anamdhalilisha kila seem iliazia Iraq kwenye kambi zao marekani ikaja Saudia Arabia nasasa kwa toto lake pedwa israel inateswa na technology ya Iran izo meli kwasasa sio ishu uwa tu zinapigwa tu uko nyuma ilikuwa ni ngumu kugusa kifaaa au kambi za marekani lkn sasa Iran anawachezesha sindimba baba na mtoto wake!! Wazungu wamekuwa weupe kwasasa Dunia duara sasa kizaz chenye janja kinatokea IRAN.
 
Back
Top Bottom