Bams
JF-Expert Member
- Oct 19, 2010
- 19,362
- 48,879
Serikali ya Marekani imerudisha tena usaidizi wake kwa Ukraine baada ya Ukraine kukubaliana na Marekani juu ya mpango wa usitishaji vita kwa siku 30.
Mara baada ya uamuzi huo, misaada mbalimbali ilianza kuingia kwa kupitia Poland.
Kwa upande wa Urusi, imeshindwa kutamka lolote kuhusiana na pendekezo la kusitisha vita kwa siku 30. Lakini hapo awali, Urusi iligomea pendekezo la kusitisha vita kwa siku 30, ikidai kuwa kipindi hicho Ukraine itakitumia kuingiza silaha.
Habari kamili toka Aljezeera hii hapa:
US President Donald Trump said he hoped Russia would agree to the ceasefire plan, signalling that the US will hold a meeting with Russia later on Tuesday or Wednesday.
Following the progress made in talks, the US said that it would “immediately lift the pause on intelligence sharing and resume security assistance” to Kyiv, which it had suspended last week, effectively hobbling Ukraine’s ability to track Russian troop movements, shield against missile strikes and carry out attacks.
Mara baada ya uamuzi huo, misaada mbalimbali ilianza kuingia kwa kupitia Poland.
Kwa upande wa Urusi, imeshindwa kutamka lolote kuhusiana na pendekezo la kusitisha vita kwa siku 30. Lakini hapo awali, Urusi iligomea pendekezo la kusitisha vita kwa siku 30, ikidai kuwa kipindi hicho Ukraine itakitumia kuingiza silaha.
Habari kamili toka Aljezeera hii hapa:
Russia-Ukraine updates: US lifts aid pause as Kyiv backs 30-day ceasefire.
- Officials from Ukraine and the United States have announced a potential deal that would pause the fighting against Russia for 30 days, which will be presented to Moscow for approval.
- The US has said it will restore aid and intelligence sharing with Ukraine, after both were severed in the aftermath of tensions between President Volodymyr Zelenskyy and his US counterpart Donald Trump.
- The breakthrough came after negotiations unfolded between senior officials from both countries in Jeddah, Saudi Arabia
US President Donald Trump said he hoped Russia would agree to the ceasefire plan, signalling that the US will hold a meeting with Russia later on Tuesday or Wednesday.
Following the progress made in talks, the US said that it would “immediately lift the pause on intelligence sharing and resume security assistance” to Kyiv, which it had suspended last week, effectively hobbling Ukraine’s ability to track Russian troop movements, shield against missile strikes and carry out attacks.
- European leaders hailed the announcement as a “breakthrough” that could help bring Russia’s war in Ukraine to a close.
- Russia, however, has previously warned it would not accept a temporary ceasefire, saying it would allow Ukraine to rearm.